Ombi: Serikali ya Tanzania ipeleke agenda African Union (AU) ya kuwakatia eneo la makazi waafrika waliochukuliwa utumwani ili warejee nyumbani

Wananzengo, waswahili walisema maji hufuata mkondo.
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji.
Akumulikaye mchana, usiku akuchoma.
Nakadhalika na kadhalika.

Tumeshuhudia kasi ya mateso na chuki kwa watu weusi ikipanda kiwango kila bara. Mtu mweusi anaonakana kama ni mtu ambaye utu wake ni wa kiwango cha chini kuliko binadamu. Mambo haya yamejidhihirisha miaka 400 (mianne) iliyopita ambapo mtu mweupe alianza kuchukua watumwa kutoka Africa. Watu wetu walitenganishwa na familia zao pasipo ridhaa.

Vilio na misiba ilizagaa katika kya. Mungu Samehe viongozi wetu waliokuwa wajinga, wabinafsi na dhaifu kwa kuamua hata kuwakamata vijana na kuwauza. Wengi walipoteza uhai kwa sababu mbalimbali kabla hawajafika walikokuwa wakienda. Waliofika utumwani walihesabiwa kama wanyama na si binadamu. Wengi waliuliwa kikatili na waliosalia walichukuliwa kama mifugo.

Baada ya kufutwa kwa utumwa, hao ndugu zetu walianza kuishi maisha yaliyobatizwa uhuru, wakati uhalisia ni kwamba kulikuwa na mapinduzi ya uzalishaji kiuchumi na hivyo hapakuwa na hitaji la watumwa tena. Hao ndugu zetu wameendelea kuishi katika jamii ambazo hazijabadilisha mentality kuhusu ubinadamu wetu.

Sote tunaona namna ubaguzi anaofanyiwa mwafrika sehemu nyingi duniani. Matukio yanayodhihirisha dhana hii ni mengi sana. Lakini tunaona kila siku yanayotokea kwa watoto wetu wanaokwenda uarabuni; tunaona mfano wa mauaji na George Floyd, mwafrika mwenzetu aliyepelekwa utumwani marekani na hatimaye anauawa hadharani kwa kuzuiwa kupumua huku akiwa amefungwa pingu mikono mgogoni.

Tumejionea namna hao wakamata watumwa, vile hasara waliyotusababishia kwa kutuchukua utumwani kwa nguvu, na kuacha familia huku zikilia vilio, walivyo na mitazamo miovu dhidi yetu kiasi cha kutangaza kutudunga sindano za majaribio za chanjo kwa lazima badala ya wanyama. Mahusiano ya kiuchumi yanaomfanya mtu mweusi kuendelea kuwa mtumwa kwa ngozi yake, na hata wanavyopanga kutupunguza eti dunia iwe na watu wachache kwa kupitia chanjo, na kadhalika na kadhalika.

Tuendelee kukubali kutumikishwa na hata kuuawa kwa maslahi ya rangi fulani ya ngozi? Ni nini ambacho hatuwezi hata tusiwe na dhana ya kujitegemea? Ni kweli hatuna elimu, raslimali wala uwezo wa kuzalisha mali na kuuziana wenyewe? Hatuna wataalamu wanaoweza kusimamia dhana ya kuj itegemea katika Africa, ili tupandishe kiwango hata tujenge msingi wa kuheshimiana na wafanyabiashara za binadamu weusi? La hasha.

Vipi ndugu zetu wanaotaabika vizazi na vizazi ughaibuni ambapo wanauawa kama chawa tena hdharani? Mmeona clip inayozungumzia wagonjwa wa Korona wakiwa hospitalini wenye ngozi nyeusi wanauliwa? Mmesikia hawa mawakala wa shetani wakitabiri Africa ingejaa mizoga ili kuwatia hofu waafirka kusudi wakubali kuchanjwa chanjo ambayo ni sumu na ywatu wawe watumwa tena watumwa wa hiyari?

Ndugu zangu huu ni muda wa mabadiliko si ya kabila wala ukoo mmoja mmoja.

Watu wote wenye rangi ni familia moja. Unajuaje kama George Floyd ni kaka ama mwanao kwa damu? Waarabu waliwaua na kuwahasi waafirka baada ya utumwa. Hata hawakutaka kuwaona. Tunasahau hayo, tunatuma watoto wetu wakawe wtumwa katika hizo nchi.

Ninaomba tuamke.

Ninajua viongozi wetu wanasoma haya mabandiko. Ninaomba serikai ya Tanzania ipeleke agenda AU ya kuwarejesha ndugu zetu walio utumwani katika nchi za ugeni.

Afrika ni bara kubwa na kuna sehemu kubwa hazijajaa. Waangalie nchi kama DRC ambayo ni kubwa sana ikiwa haina watu. Badala ya kuiacha kama maficho ya vita vya ndani, waigawanye sehemu moja wapewe ndugu zetu waliouhamishoni, wanaotaka kurudi Africa warudi wafanye nchi yao. Hii itawapa tumaini jipya la maisha kwa vizazi vyao kuliko hali ilivyo sasa ambapo mtu akitoka nyumbani, hamna hakika kama atarudi.

Agenda nyingine ya kusimamia ni kuimarisha mfumo wa uzalishaji na uhusiano wa kibiashara katika nchi zote za Africa ili tuondokane na udhalilishwaji wa kukataliwa sisi na kila kitu chetu hata kama hakina madhara. Mfano dawa ya Madagascar, raisi walivyoambiwa apewe dolla millioni ishirini ili aweke sumu kwenye hiyo dawa. hii ni dhahiri kwamba hawa watu hawataki dawa ipatikane, na wakitaka watu wafe kwa sababu wana agenda na korona hii.

Ninaomba tuendelee kujadiliana kama unapumzi. Wale walioishiwa pumzi hata hawaoni ubaya wa yote yanayotokea, ama kudhani hayawahusu, wanaweza kusoma tu na kupita bil kuchangia.

Karibuni
Mwafrika mmoja tu anauwawa wanaandamana wote waje Africa dikteta mmoja anauwa waafrika elf 20 na Hakuna anayeandamana watu wako bize na yao
 
Wananzengo, waswahili walisema maji hufuata mkondo.
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji.
Akumulikaye mchana, usiku akuchoma.
Nakadhalika na kadhalika.

Tumeshuhudia kasi ya mateso na chuki kwa watu weusi ikipanda kiwango kila bara. Mtu mweusi anaonakana kama ni mtu ambaye utu wake ni wa kiwango cha chini kuliko binadamu. Mambo haya yamejidhihirisha miaka 400 (mianne) iliyopita ambapo mtu mweupe alianza kuchukua watumwa kutoka Africa. Watu wetu walitenganishwa na familia zao pasipo ridhaa.

Vilio na misiba ilizagaa katika kya. Mungu Samehe viongozi wetu waliokuwa wajinga, wabinafsi na dhaifu kwa kuamua hata kuwakamata vijana na kuwauza. Wengi walipoteza uhai kwa sababu mbalimbali kabla hawajafika walikokuwa wakienda. Waliofika utumwani walihesabiwa kama wanyama na si binadamu. Wengi waliuliwa kikatili na waliosalia walichukuliwa kama mifugo.

Baada ya kufutwa kwa utumwa, hao ndugu zetu walianza kuishi maisha yaliyobatizwa uhuru, wakati uhalisia ni kwamba kulikuwa na mapinduzi ya uzalishaji kiuchumi na hivyo hapakuwa na hitaji la watumwa tena. Hao ndugu zetu wameendelea kuishi katika jamii ambazo hazijabadilisha mentality kuhusu ubinadamu wetu.

Sote tunaona namna ubaguzi anaofanyiwa mwafrika sehemu nyingi duniani. Matukio yanayodhihirisha dhana hii ni mengi sana. Lakini tunaona kila siku yanayotokea kwa watoto wetu wanaokwenda uarabuni; tunaona mfano wa mauaji na George Floyd, mwafrika mwenzetu aliyepelekwa utumwani marekani na hatimaye anauawa hadharani kwa kuzuiwa kupumua huku akiwa amefungwa pingu mikono mgogoni.

Tumejionea namna hao wakamata watumwa, vile hasara waliyotusababishia kwa kutuchukua utumwani kwa nguvu, na kuacha familia huku zikilia vilio, walivyo na mitazamo miovu dhidi yetu kiasi cha kutangaza kutudunga sindano za majaribio za chanjo kwa lazima badala ya wanyama. Mahusiano ya kiuchumi yanaomfanya mtu mweusi kuendelea kuwa mtumwa kwa ngozi yake, na hata wanavyopanga kutupunguza eti dunia iwe na watu wachache kwa kupitia chanjo, na kadhalika na kadhalika.

Tuendelee kukubali kutumikishwa na hata kuuawa kwa maslahi ya rangi fulani ya ngozi? Ni nini ambacho hatuwezi hata tusiwe na dhana ya kujitegemea? Ni kweli hatuna elimu, raslimali wala uwezo wa kuzalisha mali na kuuziana wenyewe? Hatuna wataalamu wanaoweza kusimamia dhana ya kuj itegemea katika Africa, ili tupandishe kiwango hata tujenge msingi wa kuheshimiana na wafanyabiashara za binadamu weusi? La hasha.

Vipi ndugu zetu wanaotaabika vizazi na vizazi ughaibuni ambapo wanauawa kama chawa tena hdharani? Mmeona clip inayozungumzia wagonjwa wa Korona wakiwa hospitalini wenye ngozi nyeusi wanauliwa? Mmesikia hawa mawakala wa shetani wakitabiri Africa ingejaa mizoga ili kuwatia hofu waafirka kusudi wakubali kuchanjwa chanjo ambayo ni sumu na ywatu wawe watumwa tena watumwa wa hiyari?

Ndugu zangu huu ni muda wa mabadiliko si ya kabila wala ukoo mmoja mmoja.

Watu wote wenye rangi ni familia moja. Unajuaje kama George Floyd ni kaka ama mwanao kwa damu? Waarabu waliwaua na kuwahasi waafirka baada ya utumwa. Hata hawakutaka kuwaona. Tunasahau hayo, tunatuma watoto wetu wakawe wtumwa katika hizo nchi.

Ninaomba tuamke.

Ninajua viongozi wetu wanasoma haya mabandiko. Ninaomba serikai ya Tanzania ipeleke agenda AU ya kuwarejesha ndugu zetu walio utumwani katika nchi za ugeni.

Afrika ni bara kubwa na kuna sehemu kubwa hazijajaa. Waangalie nchi kama DRC ambayo ni kubwa sana ikiwa haina watu. Badala ya kuiacha kama maficho ya vita vya ndani, waigawanye sehemu moja wapewe ndugu zetu waliouhamishoni, wanaotaka kurudi Africa warudi wafanye nchi yao. Hii itawapa tumaini jipya la maisha kwa vizazi vyao kuliko hali ilivyo sasa ambapo mtu akitoka nyumbani, hamna hakika kama atarudi.

Agenda nyingine ya kusimamia ni kuimarisha mfumo wa uzalishaji na uhusiano wa kibiashara katika nchi zote za Africa ili tuondokane na udhalilishwaji wa kukataliwa sisi na kila kitu chetu hata kama hakina madhara. Mfano dawa ya Madagascar, raisi walivyoambiwa apewe dolla millioni ishirini ili aweke sumu kwenye hiyo dawa. hii ni dhahiri kwamba hawa watu hawataki dawa ipatikane, na wakitaka watu wafe kwa sababu wana agenda na korona hii.

Ninaomba tuendelee kujadiliana kama unapumzi. Wale walioishiwa pumzi hata hawaoni ubaya wa yote yanayotokea, ama kudhani hayawahusu, wanaweza kusoma tu na kupita bil kuchangia.

Karibuni
Diwani kuona article ya kijinga kama hii katika maisha yangu!!! Yani mtu atoke manhatan ls vegas, south carolina, texas,atlanta,new york................... Dodoma???? Unataka kuniambia USA kuna ubaguzi kuliko Tanzania???? Heri nikabaguliwe kwa nchi za watu kuliko kubaguliwa na ccm kisa nina mawazo tofauti never never
 
Back
Top Bottom