jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 25,022
- 22,567
MWK Karibu tena...Tume kumiss kwa sana tu...Nadhani hata MJKK atakiri hilo.
Kwa upande wa hoja...Ni wazi Mrema ni mmoja wa mashujaa wetu hilo liko wazi kabisa...Hata majambazi wengi wamefurahia baada ya kuanza kupata sapoti ya wale waliopewa nguvu za ziada za unyanyasaji ili kuwalinda mafisadi...Mahita na wengineo ni mfano hai.
Toka wamuite kichaa kwa kuigeuka system ya kifisadi na kupoteza maslahi yake...Kuhatarisha maisha yake na hata bila kujali hayo wengi wetu hapa wanayoyaita maslahi kwa kudai eti ajiuzulu ili ale pension.
Angebaki ndani ya chama cha mafisadi hiyo pension nyie mngekuwa na haja ya kumwuliza ama mngekuwa mnamwita mzee wa vijisenti?
Haya wengi wetu waliyoyasema ni kama matusi kwa mtu aliyejitolea kama Mrema.
Kazi aliyofanya ni ngumu na kila alipokwenda ccm walimfuata kwa kuwahonga watu ndani ya chama ama kuwanunua baadhi ya wanasiasa wenye ushawishi ndani ya chama.
Hata yaliyowakumba chadema mnayajuwa.....Hayo hayo ya ccm kuingilia issue kwa undani ndani ya vyama kwa kupenyeza rupia....Ni jambo la busara kama Mrema atapewa nafasi katika vita hii kwani ni wazi bado wale watanzania wenye kujuwa historia kamili ya upinzani, watakubaliana na mimi kuwa Mrema bado ni factor kwani kazi aliyoianza imepata wapiganaji wengi zaidi na uzoefu waliokwisha upata sasa wanaweza kuja pamoja na kufanya mambo yanayotakiwa.
Ni muhimu sana tukapata chama mbadala chenye nguvu ili tuwe na demokrasia pevu yenye siasa safi za kuwatumikia wananchi na si kuwapora na kuwauwa kwa umasikini, maradhi na njaa...Bila kusahahu ujinga.
Mungu na aendelee kumlinda mzee wetu Mrema na iko siku Mungu atamlipa fadhila kwani pundits and cynists dont count to the powerful politics of common sense.
Kwa upande wa hoja...Ni wazi Mrema ni mmoja wa mashujaa wetu hilo liko wazi kabisa...Hata majambazi wengi wamefurahia baada ya kuanza kupata sapoti ya wale waliopewa nguvu za ziada za unyanyasaji ili kuwalinda mafisadi...Mahita na wengineo ni mfano hai.
Toka wamuite kichaa kwa kuigeuka system ya kifisadi na kupoteza maslahi yake...Kuhatarisha maisha yake na hata bila kujali hayo wengi wetu hapa wanayoyaita maslahi kwa kudai eti ajiuzulu ili ale pension.
Angebaki ndani ya chama cha mafisadi hiyo pension nyie mngekuwa na haja ya kumwuliza ama mngekuwa mnamwita mzee wa vijisenti?
Haya wengi wetu waliyoyasema ni kama matusi kwa mtu aliyejitolea kama Mrema.
Kazi aliyofanya ni ngumu na kila alipokwenda ccm walimfuata kwa kuwahonga watu ndani ya chama ama kuwanunua baadhi ya wanasiasa wenye ushawishi ndani ya chama.
Hata yaliyowakumba chadema mnayajuwa.....Hayo hayo ya ccm kuingilia issue kwa undani ndani ya vyama kwa kupenyeza rupia....Ni jambo la busara kama Mrema atapewa nafasi katika vita hii kwani ni wazi bado wale watanzania wenye kujuwa historia kamili ya upinzani, watakubaliana na mimi kuwa Mrema bado ni factor kwani kazi aliyoianza imepata wapiganaji wengi zaidi na uzoefu waliokwisha upata sasa wanaweza kuja pamoja na kufanya mambo yanayotakiwa.
Ni muhimu sana tukapata chama mbadala chenye nguvu ili tuwe na demokrasia pevu yenye siasa safi za kuwatumikia wananchi na si kuwapora na kuwauwa kwa umasikini, maradhi na njaa...Bila kusahahu ujinga.
Mungu na aendelee kumlinda mzee wetu Mrema na iko siku Mungu atamlipa fadhila kwani pundits and cynists dont count to the powerful politics of common sense.