Ina faida kubwa sana kisiasa na kibinaadamu,kuliko unavyofikiria kuliko hata huo mkataba.Kama itakuwa inafaida kisiasa atafanya hivyo!.. kwasasa inafaida hivyo anavyofanya!
Aombe msamaha juu ya Nini!!? au amemkosea nini!?Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Mwenzako anafanya calculation za kisiasa wewe unaangalia kijamii hiyo ndio tofauti!Ina faida kubwa sana kisiasa kuliko unavyofikiria kuliko hata huo mkataba.
Inamaana hujamsikia Rais leo kule Mbeya? Kasema tunatukanwa kule Twitter na "tunastahili". Uzuri LISSU hatukan bali ana kauli za kukera!!Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Hayo unayasema wewe.Lissu sio mbinafsi. Hawezi kujikomba kwa Samia kwa vile alimtembelea hospitali baada ya jaribio la kumuua lililo ratibiwa na bosi wake na kuacha kuwasemea kwa SAUTI KALI anapo umiza kizazi hiki cha Watanganyika na vijavyo.
Yesu alitufundisha jambo ambalo ni somo la kujitoa.
Alipo ulizwa jee wewe ni mfalme wa wayahudi? Angejibu hapana sio asingesulubiwa. Lakini alikubali asulubiwe na kuuawa kwa mateso ili neno la kweli litimie.
Lissu hawezi fanya hilo hata siku moja, unless watimize matakwa ya Watanganyika na Tanzania kwa ujumla.
Mwenye akili timamu haambiwi tazama.Unashauri amuombe radhi na msamaha Raisi Samia, kwa kosa lipi..??
Kama wanakereka kwa kusikia ukweli, then sioni kosa la Lisu hapo...🤷♂️Inamaana hujamsikia Rais leo kule Mbeya? Kasema tunatukanwa kule Twitter na "tunastahili". Uzuri LISSU hatukan bali ana kauli za kukera!!
Natumai ikifika siku hio hata wananchi watatoka machozi. 🥺
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Ofcz LISSU hatoi matusi bali ukwel wake usio na unafiki huwakera wanafiki!!Kama wanakereka kwa kusikia ukweli, then sioni kosa la Lisu hapo...🤷♂️
Mkuu kwako inaonekana rais ni kama Mungu. Viongozi wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi za nchi mnawezaje kuwasujudia hivyo?Natumai ikifika siku hio hata wananchi watatoka machozi. 🥺
Jamaa anamtesa sn mazaKama itakuwa inafaida kisiasa atafanya hivyo!.. kwasasa inafaida hivyo anavyofanya!
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896