blakafro
Senior Member
- May 1, 2014
- 155
- 105
Sio viongozi tu hata baadhi ya watendaji wao ni wazee na hawana customer care nzuri hata kidogo ndio maana shirika lipo lipo tu.Kama shirika la posta na TTCL linavyokufa kwa kuwa na viongozi wazee
Wiki iliyopita kwenye moja ya branch yao hapa hapa Dar nimeshangaa mteja nagombezwa na Bi Mkubwa mmoja hivi sijui ndio cashier wao ili nilipe line haraka ili tu eti awahi hospital nikasema duuh Shirika lina safari ndefu sana hata kama ni kuumwa basi si mchezo. President anapambana huko Shirika linyanyuke watu wanafanya mambo ya ajabu.
#WeNeedPaypal #TunatakaPaypal #TufunguliePaypal