Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,207
- 31,497
Yani imebidi nikae kmya wakiamua iachia wataiachia kama hawataki basi nimekubaaliana ma matokeoPayPal Wana customer care mbovu sana, hawakawii kukupa namba ya Marekani uwapigie,
Yani imebidi nikae kmya wakiamua iachia wataiachia kama hawataki basi nimekubaaliana ma matokeoPayPal Wana customer care mbovu sana, hawakawii kukupa namba ya Marekani uwapigie,
Tatizo mtaji, haiwezekani uanzishe kampuni wewe hohehahe thamani yako labda milioni 10 then mtu atumie kupitisha mamilioni ya pesa. Paypal inaanzishwa 98/99 ina thamani ya 1.5B usd kama trilioni 3 za kwetu ikiwa na Backup ya kina Elon Musk, eBay etc.Sijaona mtu anasema tuwe na Paypal replacement ya kwetu ambayo itakubalika nje kama sehemu ya malipo. Tatizo ni nini?
Naona max malipo kama imeshakufa hivi mkuu,hao selcom naona ndio bado wako na nahisi owners wake watakua matajiri sana mkuu.Tatizo mtaji, haiwezekani uanzishe kampuni wewe hohehahe thamani yako labda milioni 10 then mtu atumie kupitisha mamilioni ya pesa. Paypal inaanzishwa 98/99 ina thamani ya 1.5B usd kama trilioni 3 za kwetu ikiwa na Backup ya kina Elon Musk, eBay etc.
Kwetu TZ pia tuna Kina Selcom, max malipo etc ni same concept lakini unafkiri mtu kama MO ama Bakhresa a naweza fanya issue serious kupitia kwao? Unless wa raise mtaji, wakiwa na Hela ya kutosha kudeposit Bot basi project Kubwa nazo pia zinapitia, hakuna mtu anaetaka kurisk hela yake kwa no name company.
Kweli mkuu... Ila wana customer care mbovu sana. Payoneer wako vzuri sema shida haitumiki kwa wengi kama paypal. Yank waliishikilia eti kwa saa 24 ili kuhakiki kama mtumaji ndo katuma, ikaachiwa mara baadae tena wakaishikilia kuwa mtumaj hakutuma yeye, kumchek akahangaika nao mpaka kufikia kunipa password za account yake ni close case. Sasa kwake case closed kwnagu sku ya tano bado imeshkiliwaTatizo mtaji, haiwezekani uanzishe kampuni wewe hohehahe thamani yako labda milioni 10 then mtu atumie kupitisha mamilioni ya pesa. Paypal inaanzishwa 98/99 ina thamani ya 1.5B usd kama trilioni 3 za kwetu ikiwa na Backup ya kina Elon Musk, eBay etc.
Kwetu TZ pia tuna Kina Selcom, max malipo etc ni same concept lakini unafkiri mtu kama MO ama Bakhresa a naweza fanya issue serious kupitia kwao? Unless wa raise mtaji, wakiwa na Hela ya kutosha kudeposit Bot basi project Kubwa nazo pia zinapitia, hakuna mtu anaetaka kurisk hela yake kwa no name company.
Simple research Pato lao around bilioni 60 kwa mwaka, na wameanza na uuzaji vocha tangia 2001.Naona max malipo kama imeshakufa hivi mkuu,hao selcom naona ndio bado wako na nahisi owners wake watakua matajiri sana mkuu.
Sometime unaombea tu hizi cryptocurrency zienee Duniani ili huu ukiritimba uishe.Kweli mkuu... Ila wana customer care mbovu sana. Payoneer wako vzuri sema shida haitumiki kwa wengi kama paypal. Yank waliishikilia eti kwa saa 24 ili kuhakiki kama mtumaji ndo katuma, ikaachiwa mara baadae tena wakaishikilia kuwa mtumaj hakutuma yeye, kumchek akahangaika nao mpaka kufikia kunipa password za account yake ni close case. Sasa kwake case closed kwnagu sku ya tano bado imeshkiliwa
Duh, sijui kwann waliua maxmalipoSimple research Pato lao around bilioni 60 kwa mwaka, na wameanza na uuzaji vocha tangia 2001.
Aisee si mchezo mkuu.ThnxsSimple research Pato lao around bilioni 60 kwa mwaka, na wameanza na uuzaji vocha tangia 2001.
Bora mkuu bora iwe hvyo maana huu ukiritimba unatutesa kweliSometime unaombea tu hizi cryptocurrency zienee Duniani ili huu ukiritimba uishe.
Tumia virtual mastercard ya Vodacom.Ninataka kununua simu kwa kupitia Alibaba, jumla ni $183 kama Tzs 435,000. Kwa Wajuvi wa mambo, Nina maswali mawili, kwanza naweza kulipa kwa tigopesa? Niliwahi kusikia kuwa tigo wanayo hio huduma. Nawezaje kujiunga?
Pili, Ushuru wa simu kwa 435,000/ waweza kufikia bei gani?
Natanguriza shukulani
Unaweza kulipia kwa Mpesa or AirtelMoney MasterCard. Tigo nadhani iko supported sehem kma kikuu na sio Aliexpress.Ninataka kununua simu kwa kupitia Alibaba, jumla ni $183 kama Tzs 435,000. Kwa Wajuvi wa mambo, Nina maswali mawili, kwanza naweza kulipa kwa tigopesa? Niliwahi kusikia kuwa tigo wanayo hio huduma. Nawezaje kujiunga?
Pili, Ushuru wa simu kwa 435,000/ waweza kufikia bei gani?
Natanguriza shukulani
Process inakuaje? ShukuraniUnaweza kulipia kwa Mpesa or AirtelMoney MasterCard. Tigo nadhani iko supported sehem kma kikuu na sio Aliexpress.
Mpesa au Airtel moneyProcess inakuaje? Shukurani
😂😂😂PayPal Wana customer care mbovu sana, hawakawii kukupa namba ya Marekani uwapigie,
Mkuu nawezaje kupata line ya kenyaTulishachoka ni mwendo wa kufungua acc za kenya tu
Labda nikupe namba ya jamaa wa tanga. Ila ukweli paypal bila kuwa na docs siyo reliable kabsa siku wakiipiga pin imekula kwako. Labda nikuulize unataka acc ya paypal uifanyie nini. Jibu lako linaweza kusaidia kukupa mawazo mbadaraMkuu nawezaje kupata line ya kenya