Izy_Name
JF-Expert Member
- Apr 9, 2020
- 1,061
- 2,555
Wakuu hii inatosha na inakera sana. Sasa ni muda muafaka Serikali iruhusu transactions za mtandaoni kwanjia ya paypal maana tunapoteza na tunapitwa na vitu vingi na paypal ndo njia rahisi salama na pendwa inayotumiwa na makampuni mengi ya mitandaoni.
Hali ni tete maana tumeanza kuishi maisha ya tricks halafu inashangaza kwamba hawa TCRA na BoT hawalioni kabisa hili kama ni tatizo.
Hali ni tete maana tumeanza kuishi maisha ya tricks halafu inashangaza kwamba hawa TCRA na BoT hawalioni kabisa hili kama ni tatizo.