Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta

Akili kumkichwa
Kwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieee
 
Back
Top Bottom