Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,468
- 42,598
Marehemu aliona mbali enzi za uhai wake.Marehem mwalimu wenu ndio aliwaachia hizo notsi mkariri
Marehemu aliona mbali enzi za uhai wake.Marehem mwalimu wenu ndio aliwaachia hizo notsi mkariri
Angejua syllabus zilisha change kitambo, anawapoteza.Marehemu aliona mbali enzi za uhai wake.
Kuna demu ananiomba laki 6 akalipe kodi, fala sana
Mmhh!!! Milion 5 hii hii au MILO mi 5?Kuna demu wa jf imemfikia hii wiki 2 tu kaniomba mil 5
Kutunza na kuhonga ni different, kuna tofauti kubwa kati ya mume na danga. Read between the lineMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Wee ushaona wapi methali za wahenga zinabadilika?,badilisheni Hizo syllabus ila nahau na methali zitabaki vilevileAngejua syllabus zilisha change kitambo, anawapoteza.
Haibiwi mtu hapa...ngashtukaa!!!Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Hamna tofauti maana wote wanatumia noti kuhakikisha wanapata gudgudKutunza na kuhonga ni different, kuna tofauti kubwa kati ya mume na danga. Read between the line
Methal nyingi zishakua outdated mbaya..Wee ushaona wapi methali za wahenga zinabadilika?,badilisheni Hizo syllabus ila nahau na methali zitabaki vilevile
Uchi umegongwa kishenzi mpaka umekata tamaaHivi ukimpa mwanamke hela wewe unafaidika na nini kutoka kwake ukitoa uchi wake usio bikira?
Na mwanamke anaekupenda hakuombi helaMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Na akikuomba hela ujue anampelekea mama mkwe wake.Na mwanamke anaekupenda hakuombi hela
Hizi umetunga weweMethal nyingi zishakua outdated mbaya..
- pole pole ndio mwendo :UTAUMIA
- aliyejuu mngoje chini :UTANGOJA SANA
- Haraka haraka haina baraka EADLINE
Kwahiyo huamini kuwa hizo ni methali za wahenga?Hizi umetunga wewe
Aah wapi,namuomba sana,sema akikwama akisema Hana namuelewa fasta kuliko zamwamwaNa mwanamke anaekupenda hakuombi hela
Kwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieeeFaida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Najua ni methali,ila umezi editKwahiyo huamini kuwa hizo ni methali za wahenga?
Wakuu nisaidieni.
🤣🤣🤣🤣ChangamkaKwa hiyo kumbe ukimlipia demu kodi unapata faida lukuki, mbona hamjasema mapema? Viumbe mna siri nyieee