George Smiley
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 471
- 266
I've had enough na kutazamana machoni
Yes ni mchapakazi and all lakini as time goes by I'm getting tired of this guy.
Whats so difficult kuwajibisha lile jeshi la wazugaji lilojazana pale Airport Dar?
DEPARTURES:
Vinyesi vinavyonuka nje ya airport, na vyoo vilivyokuwa blocked
1.Airport haina proper lighting
2 Aiport haina ventilation
3. Wafanya kazi wananuka vikwapa
4. Escalators zisizofanya kazi
5. Usumbufu wa toka kwa immigration pale juu ambako kuna maofisa 11 kwenye ku can mizigo na kuchekiwa tena passport
6.Wireless internet isiyofanya kazi
7.Duty Free Shops ambazo ni sub standard
ARRIVALS:
1. Foleni ya wanaojaza visa forms (kwa nini msiwape watu wa mashirika ya ndege zikajazwa kabla ndege haijaland)?
2. Poor Ventilation (air condition zisizofanya kazi)
3. Conveyor belts zisizofanya kazi na kama zikifanya kazi ziko slow
4. Customs officials ambao wako bize kupekua mabegi ya abiria ambao hawana cha ku declare
5. Customs officials ambao hawataki kutumia scanners za mabegi na masanduku ya abiria yanapotolewa kwenye ndege
7. Jeshi la wapuuzi pale mlangoni kabla hujatoka wanaojifanya USALAMA WA TAIFA/IMMIGRATION/ANTI DRUGS/PCCB/ ambao kazi wanayofanya pale ni kuwasumbua na kuwauliza maswali abiria na kutazama passports zao bila sababu za msingi
Considering Dar Airport ni funguo kwa mgeni anayekuja Tanzania ni vyema tukahudumiwa kama customers na sio wanyama ndio maana tunalipa airport Tax na mengineyo.
I think its about time hawa wapuuzi wa TAA hapa chini wawajibishwe:
Managerial Advisory Board (MAB)
Nundu nakushauri uende Nairobi ukatazame wenzako wanavyofanyakazi pale JKIA na below ndio mipango yao ya kuitanua
Yes ni mchapakazi and all lakini as time goes by I'm getting tired of this guy.
Whats so difficult kuwajibisha lile jeshi la wazugaji lilojazana pale Airport Dar?
DEPARTURES:
Vinyesi vinavyonuka nje ya airport, na vyoo vilivyokuwa blocked
1.Airport haina proper lighting
2 Aiport haina ventilation
3. Wafanya kazi wananuka vikwapa
4. Escalators zisizofanya kazi
5. Usumbufu wa toka kwa immigration pale juu ambako kuna maofisa 11 kwenye ku can mizigo na kuchekiwa tena passport
6.Wireless internet isiyofanya kazi
7.Duty Free Shops ambazo ni sub standard
ARRIVALS:
1. Foleni ya wanaojaza visa forms (kwa nini msiwape watu wa mashirika ya ndege zikajazwa kabla ndege haijaland)?
2. Poor Ventilation (air condition zisizofanya kazi)
3. Conveyor belts zisizofanya kazi na kama zikifanya kazi ziko slow
4. Customs officials ambao wako bize kupekua mabegi ya abiria ambao hawana cha ku declare
5. Customs officials ambao hawataki kutumia scanners za mabegi na masanduku ya abiria yanapotolewa kwenye ndege
7. Jeshi la wapuuzi pale mlangoni kabla hujatoka wanaojifanya USALAMA WA TAIFA/IMMIGRATION/ANTI DRUGS/PCCB/ ambao kazi wanayofanya pale ni kuwasumbua na kuwauliza maswali abiria na kutazama passports zao bila sababu za msingi
Considering Dar Airport ni funguo kwa mgeni anayekuja Tanzania ni vyema tukahudumiwa kama customers na sio wanyama ndio maana tunalipa airport Tax na mengineyo.
I think its about time hawa wapuuzi wa TAA hapa chini wawajibishwe:
Management Team |
|
Managerial Advisory Board (MAB) |
|
Managerial Advisory Board (MAB)
Nundu nakushauri uende Nairobi ukatazame wenzako wanavyofanyakazi pale JKIA na below ndio mipango yao ya kuitanua