Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,911
Reaction score
6,502
Unamkumbuka IGP Omar Mahita? moja IGP aliyesifika kuwa katili vibaya sana na yeye mwenye amethibitisha hiyo kwa kusema alikuwa acheki na mtu anakwambia "Ukicheza na bwa utaingia naye msikitini"

IGP mstaafu Omar Mahita ameyasema hayo kwenye M&S Podcast
 
Tulisoma na mwanae Advance, ss alikuwa akivaa nguo yeyote anasema nimenunua Mariedo.
Wale wahenga mnakumbuka yale maduka ya Mariedo eti.

Sasa watu nao wanaenda kununua km ile huko mjini basi anakasirika kweli na vijembe vinaanza na mwisho anaita polisi unabebwa kwenye kigofu.
 
Unamkumbuka IGP Omar Mahita? moja IGP aliyesifika kuwa katili vibaya sana na yeye mwenye amethibitisha hiyo kwa kusema alikuwa acheki na mtu anakwambia "Ukicheza na bwa utaingia naye msikitini"

IGP mstaafu Omar Mahita ameyasema hayo kwenye M&S Podcast
Yuko sawa sometimes ukatili unasaidia lakini nadhani anamaanisha kuwa strict no nonsense. Kwasababu mbogo akikuzoea anakupanda hadi mabegani.
 
Unamkumbuka IGP Omar Mahita? moja IGP aliyesifika kuwa katili vibaya sana na yeye mwenye amethibitisha hiyo kwa kusema alikuwa acheki na mtu anakwambia "Ukicheza na bwa utaingia naye msikitini"

IGP mstaafu Omar Mahita ameyasema hayo kwenye M&S Podcast
Mnamchekea huyo mpumbavu asiye na maana......Eti katili sana, unaua watu wasio na hatia, unapiga watu, unaumiza na unawatia vilema kwa sababu za kisiasa. Kwani nchi yetu unadhani ni ya CCM pekee yake? Pumbavu sana.
 
Unamkumbuka IGP Omar Mahita? moja IGP aliyesifika kuwa katili vibaya sana na yeye mwenye amethibitisha hiyo kwa kusema alikuwa acheki na mtu anakwambia "Ukicheza na bwa utaingia naye msikitini"

IGP mstaafu Omar Mahita ameyasema hayo kwenye M&S Podcast
Imemsaidia nini ukatili!Nae ugonjwa unamfanyia ukatili Kweli!
 
Back
Top Bottom