Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

CUF walisema wao ni NGANGARI kinoma, Mahita akaja kuwajibu CUF kama wao ni ngangari basi wao polisi ni NGUNGURI, jeshi la polisi likawa linataniwa ni ngunguri kutokana na kauli ya Mahita
 
Moja ya msingi mkuu wa kwenda kufuta dhambi na kutubu kwa yote ambayo mabaya kiumbe uliyoyafanya.

Binaadam ktk maisha unakosea na fursa imetolewa kitubu, sisi waislam moja ya fursa hio ni hijja.

Nilimsikia Omar Hita akijisifu kwamba yeye alikua igp katili tena katili hasa. Katili ni mtu ambaye unaumiza watu kwa kiasi kikubwa.

Inaamaana mh Omar Mahita aliopoenda hijja hakupata fursa ya kuomba toba kwa nafasi aliotumikia ya ukoo wa vyombo dola?
 
Moja ya msingi mkuu wa kwenda kufuta dhambi na kutubu kwa yote ambayo mabaya kiumbe uliyoyafanya.
Binaadam ktk maisha unakosea na fursa imetolewa kitubu, sisi waislam moja ya fursa hio ni hijja.
Nilimsikia Omar Hita akijisifu kwamba yeye alikua igp katili tena katili hasa.
Katili ni mtu ambaye unaumiza watu kwa kiasi kikubwa.
Inaamaana mh Omar Mahita aliopoenda hijja hakupata fursa ya kuomba toba kwa nafasi aliotumikia ya ukoo wa vyombo dola?

Kabla hujaenda Hija , Muhimu ni kuwaomba radhi kwanza wale uliowakosea . Huo ndio uislamu unavyotaka
 
Back
Top Bottom