Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

CUF walisema wao ni NGANGARI kinoma, Mahita akaja kuwajibu CUF kama wao ni ngangari basi wao polisi ni NGUNGURI, jeshi la polisi likawa linataniwa ni ngunguri kutokana na kauli ya Mahita
 
Ukatili wote Ila Beki tatu alimnyoosha sana huyu Mzee kwenye ile issue ya matunzo ya Mtoto . Sijui kesi iliishaje?

Aisee ndio huyu alikulaga dada wa kazi mpaka wakazaa?

Umemsikia kwenye interview anasema hata wasaidizi wa ndani ukiwachekea watakuzoea sana.

Nikajua ni zee moja lina integrity na seriousness kali, kumbe linacheza nao mpaka linavuana nao nguo na halivai condom, mpaka linazaa nao

Jitu liongo na linafiki mbele ya TV namna hii ??????
 
Kuna watu hua wanapost humu wataandika "Mahita ameisha siku hizi atakua anajutia" "Anatembelea magongo"

Haya yeye huyo hapo anaelezea perspective yake.

Watu waache kujifariji. Mara utasikia maaskari hua na mwisho mbaya sana muone Zombe.

But these guys don't share your perspective and they will never.
 
Kuna watu hua wanapost humu wataandika "Mahita ameisha siku hizi atakua anajutia" "Anatembelea magongo"

Haya yeye huyo hapo anaelezea perspective yake.

Watu waache kujifariji. Mara utasikia maaskari hua na mwisho mbaya sana muone Zombe.

But these guys don't share your perspective and they will never.
Ohh ok

Ova
 
Back
Top Bottom