Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

Lakini amesema mafanikio yake wakati wake hakukuwa na utekaji na alikua hapokei maelekezo ya wanasiasa
Muongo na mnafiki huyo, vipi kuhusu issue ya mapanga fake yaliyochorwa nembo ya CUF na kisha kuwasingizia CUF kwamba ni magaidi. Je, alitumwa na Nani kufanya hivyo? Je, Ni nini lengo la ile movie?
 
Tulisoma na mwanae Advance, ss alikuwa akivaa nguo yeyote anasema nimenunua Mariedo.
Wale wahenga mnakumbuka yale maduka ya Mariedo eti.

Sasa watu nao wanaenda kununua km ile huko mjini basi anakasirika kweli na vijembe vinaanza na mwisho anaita polisi unabebwa kwenye kigofu.
Aisee
 
Unamkumbuka IGP Omar Mahita? moja IGP aliyesifika kuwa katili vibaya sana na yeye mwenye amethibitisha hiyo kwa kusema alikuwa acheki na mtu anakwambia "Ukicheza na bwa utaingia naye msikitini"

IGP mstaafu Omar Mahita ameyasema hayo kwenye M&S Podcast
Cha ajabu Mungu Bwana Wa Majeshi anawapa maisha marefu na yenye furaha wazee kama hawa.

Bado naendelea kutafakari huyu Mungu tunayefundishwa
 
Sasa ukatili wake umelisaidia vipi taifa katika kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi,kijamii,kisiasa na kisheria pia?
Ndivyo akili za polisi zilivyo, ni kama yule traffic police waliyemuuliza "unajisikiaje baada ya kuhamishiwa Chalinze kutoka Kilombero" akajibu "alhamdulillah, hapa kuna magari mengi sana kutoka Tanga, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa na nchi za nje, Kilombero unaweza kukamata gari moja tu kwa siku nzima"
 
Watanganyika walio wengi hawafahamu haya, wanamuona mtu mbaya ni Samia tu. Mkapa na Mahita walifanya kitu kibaya sana kwa jamii ya Wazanzibari na khasa wapemba.
Historia ina tabia ya kujirudia.
Muongo na mnafiki huyo, vipi kuhusu issue ya mapanga fake yaliyochorwa nembo ya CUF na kisha kuwasingizia CUF kwamba ni magaidi. Je, alitumwa na Nani kufanya hivyo? Je, Ni nini lengo la ile movie?
 
Ndio maana wasenji wakaja kulipiza kisasi kwenye uchaguzi wa 2025 kwa kuua watanganyika maelfu.
Una ushahidi wa Wazanzibari kufanya mauaji Tanganyika?
Au ni story za vibaraza vya kahawa.
 
Back
Top Bottom