Ole Sosopi hana adabu

Ole Sosopi hana adabu

Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Jeshi hilo lipo kwa ajili ya ccm sii raia
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.

Toka lini mzee umekuwa na huruma or u mean crocodile tears?
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
kufa bwege wew
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Huu ni uchochezi, unamchonganisha Ole na jeshi letu, pili unatufundisha nidhamu ya uoga!! Eti watu wasiseme UKWELI kwa kuogopa vitisho vyako!!
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Kwa hiyo ulitaka awatukuze,kuwasifu na kuwapa zawadi?Kwa lipi hasa lenye tija?
1-Wananchi kuuliwa hovyo
2-Wananchi kupotea
3-Wananchi kutekwa
4-Wananchi kupewa vipigo vya kukaribia kufa au kufa kabisa
5-Polisi kutumika kuwasumbua/kupiga na kuweka mahabusu
6-Rushwa kuombwa hovyo kama maji ya kunywa kwa majirani(polisi)
7-Unyang'anyi wa wazi wa mali za watu
Kwa hayo machache ulitaka Sosopi awagawie ng'ombe wake?
Sina adabu weye muleta usi jamfini!?
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Ulitaka asifie kwamba jeshi letu la polisi lina uwezo wa kulinda wananchi na mali zao?

Kuanzia miili iliyo opolewa kwenye viroba mto Ruvu, mauaji ya wanasiasa RIP Mawazo Alfonce et la, kupotea kwa Azory Gwanda hadi kupigwa risasi Tundu Lissu, polish wameshawahi kumpata mhalifu? Pathetic. Kilangila.
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Huyu mtoto mdogo tu na mshamba tu yan hajui hata yeye anapata muda wa kuandika hicho kiupuuzi chake kwakua tu polisi wameimarish amani kwa ushirikiano na vyombo vingine vya ulinzi na usalama...ila polisi wasijali ipo siku huyu sosopi atafika tu c.r.o kupeleka mahitaji yake sasa nao wamkumbushe tu kua hatuwezi kukusaidia inabidi uende polisi wa Europe wakakusaidie
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Mkuu mimi binafsi nilishukuru jeshi la Polisi kwa kuwadhibiti wahuni waliopo katika vyama vya upinzani. Nina hakika kabisa kama isingekuwa weledi wa jeshi letu la polisi hawa wahuni wangesumbua sana raia wema. Rejea mawe waliyokuwa wakirushiwa watu waliovaa nguo zenye nembo ya CCM..
 
we waache tu wadharau polisi,wenzao wakenya nao walikua hivi hivi..saivi adabu ipo
 
Hivi kwanini kila mpumbavu hapa nchini anapenda kujifanya mtu wa usalama au serikali? We jamaa ni mpumbavu tu na unachoongea ni takataka.....
Cc. TumaniEl,UCD, YEHODAYA, ISSIS kwa niaba ya Jamhuri ya vitisho na ubabe. Kilangila.
 
Huyu mtoto mdogo tu na mshamba tu yan hajui hata yeye anapata muda wa kuandika hicho kiupuuzi chake kwakua tu polisi wameimarish amani kwa ushirikiano na vyombo vingine vya ulinzi na usalama...ila polisi wasijali ipo siku huyu sosopi atafika tu c.r.o kupeleka mahitaji yake sasa nao wamkumbushe tu kua hatuwezi kukusaidia inabidi uende polisi wa Europe wakakusaidie

Kabisa mkuu'maanake wakibanwa kidogo na sheria breki yao ya kwanza ni EU.Ndugu zetu wa chadomo hao EU wanawasanifu tu ,msifikiri wanawapenda saana.
 
Una point nzuri saana lakini huna uwezo wa kuzileta mbele za watu. Kwanza kabisa nadhani hayo maneno yangelitoka kinywani mwa mwana ccm yeyote wa ngazi yeyote hata balozi wa nyumba kumi, wewe ungetulia kwanza halafu umchambue uuone ukweli wake. Lakini kwa kuwa tu limetolewa na mpingaji, wewe hukumlazia damu.
Wazo langu tu ni kuwa; Tulia kidogo, umchunguze huyo Sosopi uone kama kuna ukweli ndani yake au la. Hebu fikiri; Kama "Mpingaji" yeyote anataka hata kufanya besidei yake tu kitaa anahitaji kibali cha polisi asijeambiwa; "Umefanya mkutano wahadhara". Lakini mjumbe wa shina anatamka kuwa njoo kwenye mkutano wa hadhara pale uwanja wa sokoni kesho. Ukikosa utabambuliwa. Wote tunaenda na anahutubia mtu mambo ya siasa na kuwaponda hao wapingaji kwa masaa mengi tu wala hao polisi hawawazuii. Weye unaona haki hiyo?
Sosopi kawaambia, Jitathiminini. Tusi liko wapi hapo? Huyo ni Sosopi mtu sio "kajitu"
 
Back
Top Bottom