Ole Sosopi hana adabu

Ole Sosopi hana adabu

Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Mmeambiwa ukweli ndo mjitatathmini sasa.

Hivi kuna kauli ya kuuđhi na kiburi kama ile aliyoitõa mwenyekiti wa uvccm taifa kule kigoma? Kuwa ccm ndo inaamua wapi ipeleke maendeleo na wapi hisipeleke maendeleo
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Hujawahi kufa ndio maana unabwabwaja sana dogo waache wakupiganie kazi walionayo Chadema babaako haiwezi
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Dah! Kwa jinsi ulivyoongea kwa hasira, ni lazima hata wewe mwenyewe utakuwa ni askari polisi. Jiwe limelenga target.
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Nchi haindeshwi kwa vitisho. Baada ya kuwatia adabu hao viongozi wa CHADEMA ndio maendeleo yamekuja?! Unaelewa kazi ya vyama vya upinzani?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Hata wewe huna adabu kwa kuingilia Uhuru wa Sosopi kutia maoni yake juu utendaji wa jeshi la polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Kwa hali hiii sijui ninyi watu mnataka nchi hii mbaki nyinyi tuu! Maana kila kitakacho ongelewa na upinzani nilazima mkikosoe Na kukipinga kwa kila hali, basi tafakarini hayo mnayo sikia kwa kina alafu jiulizeni yana ukweli kiasi gani ?kabla ya kutoa shutuma nyiingi.TANZANIA NI YETU IFIKE MAHALI TUIJENGE NCHI KWA UMOJA SII KWA CHUKI NA VISASI. Ni maoni tuu.
 
Kwa hali hiii sijui ninyi watu mnataka nchi hii mbaki nyinyi tuu! Maana kila kitakacho ongelewa na upinzani nilazima mkikosoe Na kukipinga kwa kila hali, basi tafakarini hayo mnayo sikia kwa kina alafu jiulizeni yana ukweli kiasi gani ?kabla ya kutoa shutuma nyiingi.TANZANIA NI YETU IFIKE MAHALI TUIJENGE NCHI KWA UMOJA SII KWA CHUKI NA VISASI. Ni maoni tuu.
Umeongea hoja ya msingi sana, TANZANIA NI NCHI YETU SOTE HATUNA HAJA YA KUWEKEANA VISASI

Hoja za kisiasa zinajibiwa majukwaani na sivyo anavyofanya huyu Jiwe kwa "ku-pyupyu"
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Kwaiyo unataka asiseme??

Hayo mnayo yapanda na kuyapalilia mtakuja kuyavuna siku sio nyingi
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini UMEJIBIWA VZR SANA NA WADAU TAKE A TIME OMA VZR NEXT TIME UKIRUDI KUANDIKA UTAKU MAKINI
 
Unaweza ukawa una Hoja ya msingi ila ni ukweli usiopingika na huhitaji darubini kujua kwamba Jeshi letu la Polisi japo linaendelea Kuimarishwa ila lina ' Changamoto ' nyingi na tena za msingi kabisa kuhusu Usamala wa Raia na Mali zao. Kuna mambo mengine yanafanyika hadi Mtu unajiuliza hivi Tanzania ina Jeshi la Polisi imara kweli? Nadhani ' response ' yako ingekuwa ni ya Kumjibu huyo Sosopi kwa Hoja zako unazotofautiana nae tena ikibidi kwa mifano iliyo ' Kuntu ' kabisa tungekuelewa ila na Wewe umekuja na Hasira dhidi yake na kama vile unamdharau au unamtisha wakati nchi hii ni yetu sote tumeikuta na tutaiacha Siku moja.
Huyu jamaa anajua kabis hana chakumjibu ndo maana amewahi kwenye personal atack
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Upuuzi mtupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Anayepiga mashangazi ndiye ana adabu? au kichaa ndiye ana adabu?
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Umeandika kama mbwa mkorofi, mbwa anahanjahanja kutafuta amun'gate nani
 
Unaweza ukawa una Hoja ya msingi ila ni ukweli usiopingika na huhitaji darubini kujua kwamba Jeshi letu la Polisi japo linaendelea Kuimarishwa ila lina ' Changamoto ' nyingi na tena za msingi kabisa kuhusu Usamala wa Raia na Mali zao. Kuna mambo mengine yanafanyika hadi Mtu unajiuliza hivi Tanzania ina Jeshi la Polisi imara kweli? Nadhani ' response ' yako ingekuwa ni ya Kumjibu huyo Sosopi kwa Hoja zako unazotofautiana nae tena ikibidi kwa mifano iliyo ' Kuntu ' kabisa tungekuelewa ila na Wewe umekuja na Hasira dhidi yake na kama vile unamdharau au unamtisha wakati nchi hii ni yetu sote tumeikuta na tutaiacha Siku moja.
Mimi hapo Lumumba kuna watu wakupost kitu nakisomanakiacha kama kilivyo. Maana nikijibu nitaonekana natukana tu. Mtanzania asiyeona madhaifu ya Polisi ni mjinga wa kujitakia, hata Polisi wenyewe wanalijua hilo na pengine wanakiri hadharani au kwa kificho. Kama madhaifu hayo yangekuwa machache watu wasingesema maana udhaifu ni sehemu ya ubinadamu, lakini yanapokuwa mengi na ya kujirudiarudia yanakera na kuonekana sehemu ya utendaji.
Tuchukulie tu tukio la kijana Richard aliyeuawa Arusha mbele ya kaka yake tena kituoni. Kwa akili ya kawaida kama Richard angekuwa ndugu wa mleta mada tiaigemuona akileta Upuuzi huu hapa JF. Tukio la Arusha ni mwendelezo wa kukosa weledi ambako sasa kumeanza kuzoeleka nchini kukitendwa na Jeshi la Polisi. Yaani tunavyojua mtu anatakiwa kujifunza kwa makosa ya wengine na ikishimdikana ajifunze kwa makosa yake mwenyewe ili asiyarudie. Lakini kwa Polisi wetu hilo halipo, kosa wanalifanya Leo Mtwara, kesho Arusha, keshokutwa Mbeya, Mtondo utalisikia Mara, mtondogoo Kigomaaa! Unajiuliza; matukio yote haya ni bahati mbaya au ni mashindano. Bibi yangu aliwahi kuniambia, kupiga miayo kunaambukiza, na kweli mkiwa kundi akapiga miayo mmoja wenu basi angalau wawili zaidi watamfuata. Sasa sijui Polisi nao wanafuata formula hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dereva wa Lori ameshapotea njia. Ndio maana sasa hivi kwenye Lori kila mmoja anaibuka na lake kujaribu kama Dereva atakumbuka njia.
Jeshi letu la Polisi limekuwa lkiwajibika zaidi kwa Wanasiasa kuliko kwa Raia na mali zao.
Kwa upande mwingine hata ukifuatilia ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani, kuna matukio aliyokutana nayo haamini kuwa yametendeka Tanz na yametendwa na Jeshi la Polisi. Tatizo ni kwamba hata yeye ni Mwanasiasa kwa namna moja au nyingine alikuwa akifurahishwa yeye ktk matendo yale.
 
Nimemsikia huyu kijana wa kile kinachojiita BAVICHA anayeitwa Ole Sosopi anaongea kwa kiburi na dharau kubwa kuwa eti jeshi letu la polisi lijitathmini kama lina uwezo wa kulinda wananchi na mali Zao.

Kauli hizi za kutia kichefuchefu zinakera na kuudhi ukizingatia kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa na matukio hayawezi kukosekana hata kama ingekuwa nchi takatifu.

Madhaifu ya hapa na pale ndani ya jeshi la polisi isiwe sababu ya mtoto huyu kuja na kauli za kuudhi na kulidhalilisha.

Nimfundishe Bwana mdogo huyu Sosopi kwamba ujanja mwingi mbele giza.Anaweza kujifu nza zaidi hata kwa viongozi wake wa CHADEMA ambao walijionyesha kuwa ni wajanja mbele ya jamii na kwamba hata sheria zetu hawaziheshimu lakini sasa ukiwaona wanatia huruma.
Wewe ni popoma,kama ungekuwa sawa Kichwan ungefanya katafiti kadogo
kabla hujaanza kumjibu
Hujapata shida ukakutana na Police wa Tz.
Mimi naweza sema Tz tuna jeshi la polisi Bovu baadhi yao,ila tuna jeshi la wananchi zuri
 
Back
Top Bottom