Senzige, najua kuwa wewe ni kada mtiifu wa ccm ambao umekulia na kulelewa humo. Natambua pia kuwa unawinda nafasi za uteuzi zilizokupita kando na kama mtoto wa kada hukuyatarajia haya ya kutokubebwa ili kumlipa fadhila mzee wako ambaye ni kada na kiongozi! Lakini, unatoka kwa kuanzia mguu mbaya. Unakaa nyuma ya cdm kutafuta makosa ambayo hutoyaona kwani hata huyo mteuaji maoni mengi anayachukua cdm.
Unajua hakuna kazi ngumu kama kuwatetea polisi?
Unajua hakuna kazi ngumu kama kuwatetea polisi?