Ole Sendeka atoa ushauri kwa UKAWA!!

Ole Sendeka atoa ushauri kwa UKAWA!!

Hili ndilo tatizo la kuwa na walio kosa elimu kupewa uongozi. Kwan UKAWA wamesusia vikao vya bunge au wana mgogoro na naibu spika? Acheni kuhamisha mada.
Acha kukalili kila kitu anachoongea mbowe,acha ufia chama usio na maana na usome thread vizuri sio unahemka
 
Hivi Ole Sendeka umeshapatana na prof. Muhongo? Mruhusu atusomee matokeo yako basi. Kwa mujibu wa prof. Muhongo nawe inafaa uitwe lile jina la wanafunzi wa udom walilopewa na jpm.
 
amshauri naibu spika wake ampumzike kuuza sura pale mbele awaachie hata wenyeviti wake , waone kama wapinzani hawataingia bungeni , figisu zinaendelea Sugu naye atimuliwe bungeni
 
si wajiuzuru kabisa na huo ubunge ndo ntajua wako serious sio kukaba nafasi tu bila kufanya kazi, vinginevyo ni abuse of power. kuchagua wapinzani very risk katika kuwakilishwa.
Uwakilishwaji wa kugonga dawati! Tuwe na utu basi...
 
Akarekebishe matokeo yake ya kidato cha sita kwanza .
Sendeka anweza kujitetea kwa kuwa alisoma PCB , mbowe atajitetea nini kwa HKL ,maana matokeo ya sendeka ukiziba jina ukaweka la mbowe hayana tofauti
 
Hivi kuwa live kunamsaidia nini Mtanzania?
Umewahi daku naona kwa swali lako kinyume chake kinamsaidia nini mTz ?!

Wewe ni msomi muelewa mnapokuwa Lumumba wapeni ushauri chanya. Kukosolewa kusiirudishe nchi karne ya 19
 
Umewahi daku naona kwa swali lako kinyume chake kinamsaidia nini mTz ?!

Wewe ni msomi muelewa mnapokuwa Lumumba wapeni ushauri chanya. Kukosolewa kusiirudishe nchi karne ya 19

Wakati wa Nyerere hakukuwa hata na gazeti huru wachana na live. Mbona hampondi?

Kama mnawasanii wanaotaka kufanya maigizo Live walipie muda vituo vya TV. Bungeni NO.
 
Yaani tuishi kwny kivuli cha kipindi cha mwl ?! Umenivunja moyo. Good day
 
Alishindwa kuwashawishi wapiga kura wake wamchague leo hii ndio aweze kuwashauri ukawa?
Ni wazi swala la ukawa kutokuingia bungeni linawasumbua na ndomana wakawakataza kufanya mikutano na kutokuwalipa posho, hiyo yote ni ili tu kuwabana ukawa wahudhurie vikao vya bunge akat tuli akiwa kwenye kiti. ila wamebughi men..
 
Back
Top Bottom