Hahaaaa. Acha hizo Ben unamsema Mwenyekiti kiujanjaaaaAkarekebishe matokeo yake ya kidato cha sita kwanza .
labda utaratibu wa chama kimoja urudi............. ndgsi wajiuzuru kabisa na huo ubunge ndo ntajua wako serious sio kukaba nafasi tu bila kufanya kazi, vinginevyo ni abuse of power. kuchagua wapinzani very risk katika kuwakilishwa.
Alishindwa kuwashawishi wapiga kura wake wamchague leo hii ndio aweze kuwashauri ukawa?"Nawashauri viongozi wa upinzani kukaa chini na kutafakari hatua yao ya kususia Bunge kwani haina manufaa kwa jamii"
Source: Christopher Ole Sendeka
Msemaji wa CCM
View attachment 355511
hizi ni siasa za kiushindani kaka, kama walitarajia thing to go on their way wali forecast vibaya. toka vyama vingi vianze hakuna session zilikuwaga fair.labda utaratibu wa chama kimoja urudi............. ndg
Aisee we jamaaa pakaywatek ni mmmmmmbayaaaaa!!!Walidhani wanachukua posho, kumbe wala! Wakajua watawakata kwenye posho wakaambiwa posho haikuwapeleka bungeni, sasa wameanza kuwabembeleza.
Hiyo haina ubishi hata kidogoLumumba ndio wamefuata maslahi bungeni
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, sendeka ni mtu mzima katumia busara kuwashauri wenzake, siasa si ugomvi kakaAlishindwa kuwashawishi wapiga kura wake wamchague leo hii ndio aweze kuwashauri ukawa?
Na akiendelea kuzingua tutamuomba atuwekee matokeo yake ya kidato cha sita hapo ndio utaona mbio zakeOlesendeka Ukawa siyo size yako hata kiduchu, bora ungekuwa unakaa kimya
Hao ndio viongozi wetu wa ccmHili ndilo tatizo la kuwa na walio kosa elimu kupewa uongozi. Kwan UKAWA wamesusia vikao vya bunge au wana mgogoro na naibu spika? Acheni kuhamisha mada.
Teeeeeeh teeeeeeeeeh, maccm ni kichekesho wao wanacho jua ni kuzomea na kushangilia tu bungeni badala ya kuwatetea wananchiAngewashauri wabunge wa ccm waache kushangilia kila kitu hata Kitwanga wakimshabgilia akiwa kalewa
Mikataba feki wacha kutuvunja mbavu bhanaHuyu Jessica nae anatoa ushauri eti
Hahahahahah uncle umenikumbusha movie ya Jessica na baba yake.
Upo sawa kabisa mkuuunikifuatilia matukio naona uhusiano wa karibu kati ya katazo la polisi kwa vyama vya siasa na tamko la sendeka la kujibu mapigo ya ukawa, huu ushauri ni mwendelezo tu .....................
Alikuwa na kazi ya kukusanya mayai ya mbuni tupuHivi F6 alipata ngapi vile? Tukumbushane jamani.
Busara baada yakuona maji ya shingo mnafikii to analolotemnyonge mnyongeni haki yake mpeni, sendeka ni mtu mzima katumia busara kuwashauri wenzake, siasa si ugomvi kaka
Nenda katandike teremka tukaze ulaleWamesusa kwa ajili hawaoneshwi live!