Ole Sendeka atoa ushauri kwa UKAWA!!

Ole Sendeka atoa ushauri kwa UKAWA!!

"Nawashauri viongozi wa upinzani kukaa chini na kutafakari hatua yao ya kususia Bunge kwani haina manufaa kwa jamii"
Nasi tunaomba kumshauri aka re seat nakuongeza ka elimu japo kidogo! Anasemaje?.......apige paper na wajukuu zake!
Source: Christopher Ole Sendeka
Msemaji wa CCM
View attachment 355511
 
HUYU ndie anaejua UMUHIMU wa UPINZANI katika KUIBANA SERIKALI . anajua UDHAIFU wa WABUNGE wengine BUNGENI.watakuwa wanapiga makofi tuu
 
Ni wazi swala la ukawa kutokuingia bungeni linawasumbua na ndomana wakawakataza kufanya mikutano na kutokuwalipa posho, hiyo yote ni ili tu kuwabana ukawa wahudhurie vikao vya bunge akat tuli akiwa kwenye kiti. ila wamebughi men..
Kila wanapompagusa wanakuta ni moto,ccm wanalo hili na wananchi ndio tunalifuatilia kila kona
 
Wakati wa Nyerere hakukuwa hata na gazeti huru wachana na live. Mbona hampondi?

Kama mnawasanii wanaotaka kufanya maigizo Live walipie muda vituo vya TV. Bungeni NO.
wanataka waonekane live wanavyoonyesha vidole vya kati
 
Mbona asiwashauri MACCM wenzake pamoja na Naibu spika wao kujitadhmini na kuacha kuwakandamiza wapinzani? Nadhani kauli ya msemaji wa ccm ingekuwa na maana zaidi kama angeshauri pande zote mbili kukaa chini na kutafuta ufumbuzi wa chanzo cha wao kususia bunge
 
Walidhani wanachukua posho, kumbe wala! Wakajua watawakata kwenye posho wakaambiwa posho haikuwapeleka bungeni, sasa wameanza kuwabembeleza.
Mbona hawakusema tangu mwanzo hawatachukua posho ndio kwanza bila aibu asubuhi wanajiandikisha bila soni jioni wanaenda chukua posho. It is unbelievable. Hawapewi posho kwa sababu hawafanyi kazi period!
 
Mbona hawakusema tangu mwanzo hawatachukua posho ndio kwanza bila aibu asubuhi wanajiandikisha bila soni jioni wanaenda chukua posho. It is unbelievable. Hawapewi posho kwa sababu hawafanyi kazi period!
Wewe ni wa wapi...! Ni kwamba tangu waanze kutoka wana sign mahudhurio siyo posho, kamuulize NS ni lini walichukua posho tangu wamuachie bunge lake.
 
Walichuk
Wewe ni wa wapi...! Ni kwamba tangu waanze kutoka wana sign mahudhurio siyo posho, kamuulize NS ni lini walichukua posho tangu wamuachie bunge lake.
ua posho siku zote walizosaign! Ndio hataka mama Tulia na wengine wakaliona hili nakuupigwa stop. Mimi mwenyewe kabla hata mama Tulia hajasema nilikwishasema nasikia uchungu sana kwa wasanii hawa kuchukua posho huku hawafanyi kazi. Sasa wewe eti unawakanushia kwa niaba yao. Mbona hawakukanusah awali?!?!/ SHame on them! name nafuraha kubwa P.A.Y.E yangu ikanunulie madawa hospitalini!
 
Walichuk

ua posho siku zote walizosaign! Ndio hataka mama Tulia na wengine wakaliona hili nakuupigwa stop. Mimi mwenyewe kabla hata mama Tulia hajasema nilikwishasema nasikia uchungu sana kwa wasanii hawa kuchukua posho huku hawafanyi kazi. Sasa wewe eti unawakanushia kwa niaba yao. Mbona hawakukanusah awali?!?!/ SHame on them! name nafuraha kubwa P.A.Y.E yangu ikanunulie madawa hospitalini!
Wewe ni mgumu kuelewa, ni hivi silinde aliweka mambo sawa ili kuondoa mawazo kama hayo kwako, CCM walikua wanapotosha kuwa wanasaini na kuchukua posho wakati walikua hawachukui, umeelewa??
 
Wewe ni mgumu kuelewa, ni hivi silinde aliweka mambo sawa ili kuondoa mawazo kama hayo kwako, CCM walikua wanapotosha kuwa wanasaini na kuchukua posho wakati walikua hawachukui, umeelewa??
Siwezi kuelewa kwakuwa endapo wangekuwa hawachuki wangekanusha mapema.walikuwa wanasign na wana chukua posho umenifahamu?!?!?!
 
Olesendeka Ukawa siyo size yako hata kiduchu, bora ungekuwa unakaa kimya
Nani kasema UKAWA sio saizi yake acha wivu hao hawana jipya na ukweli wataambiwa tu ,their resistance is very negligible to the point we assume it to be negative hence no effect it produces.
 
Hili ndilo tatizo la kuwa na walio kosa elimu kupewa uongozi. Kwan UKAWA wamesusia vikao vya bunge au wana mgogoro na naibu spika? Acheni kuhamisha mada.
Hakuna aliekosa elimu hapa labda ukawa walikosa malezi ndo maana wanapanic na kuchukua maamuzi yasiowafikisha popote na watabaki hivo hivo adi yesu anarudi kulichukua kanisa.
 
Back
Top Bottom