Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 19,974
- 23,992
"Nawashauri viongozi wa upinzani kukaa chini na kutafakari hatua yao ya kususia Bunge kwani haina manufaa kwa jamii"
Nasi tunaomba kumshauri aka re seat nakuongeza ka elimu japo kidogo! Anasemaje?.......apige paper na wajukuu zake!
Source: Christopher Ole Sendeka
Msemaji wa CCM
View attachment 355511