Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Sisi ya sendeka tunayo na ukibisha tunayashusha ukumbiniWaweza tuwekea ya mwenyekiti wako hapa kwanzaa?
Ukishindwa, Je waweza mwambia mwenyekiti wako hayo?
Sisi ya sendeka tunayo na ukibisha tunayashusha ukumbiniWaweza tuwekea ya mwenyekiti wako hapa kwanzaa?
Ukishindwa, Je waweza mwambia mwenyekiti wako hayo?
punguza jaziba mkuu, maji ya shingo kivipi wakati budget zinapita tu!!!!Busara baada yakuona maji ya shingo mnafikii to analolote
Mwenyekiti wenu ana degree kibao za zawadiNa mwenyekiti wetu nae arekebishe .
Sasa hivi hali imekuwa kinyume,kuichagua ccm ni kupoteza wawakilishi kabisaaaaaaaaasi wajiuzuru kabisa na huo ubunge ndo ntajua wako serious sio kukaba nafasi tu bila kufanya kazi, vinginevyo ni abuse of power. kuchagua wapinzani very risk katika kuwakilishwa.
Wapitishe wao asa nn anataka kuleta unafiki kwan marangap wanapitisha wao wenyewe topunguza jaziba mkuu, maji ya shingo kivipi wakati budget zinapita tu!!!!
Kwa tanzania siasa ni ugomvi mkubwa sanamnyonge mnyongeni haki yake mpeni, sendeka ni mtu mzima katumia busara kuwashauri wenzake, siasa si ugomvi kaka
haya mambo hayataki hasira ndugu ndo siasa hizoWapitishe wao asa nn anataka kuleta unafiki kwan marangap wanapitisha wao wenyewe to
washabiki tu ndo wanakuwaga na ugomvi, ila wao wenyewe hata nyep wanapeana bila stress.Kwa tanzania siasa ni ugomvi mkubwa sana
Sio asira kuna vitu vinakera sana nainakera zaid palea mtu anapoleta unafiki wakati anajua kabisa tatizo ripo waphaya mambo hayataki hasira ndugu ndo siasa hizo
hahaha pole mkuuSio asira kuna vitu vinakera sana nainakera zaid palea mtu anapoleta unafiki wakati anajua kabisa tatizo ripo wap
Kwani nani kakudanganya kuwa siasa ni magari ya kifahari, siasa ni watu wapenzi na wakereketwawashabiki tu ndo wanakuwaga na ugomvi, ila wao wenyewe hata nyep wanapeana bila stress.
Ndo ivyo tena tutafanyajehahaha pole mkuu
kumbe unatambua ss washindane kwa hoja cyo kigezo cha kupata nafac ya kuunda serikali ndio fulsa ya kuwabana wengine kwani wapinzani wao ndio wanakosea cku zote? tatizo wanaeleza ukweli na watawala wanakosa hoja wanalazimika kutumia vbaya nafac zao tuuuhizi ni siasa za kiushindani kaka, kama walitarajia thing to go on their way wali forecast vibaya. toka vyama vingi vianze hakuna session zilikuwaga fair.
everyone is fungibleKwani nani kakudanganya kuwa siasa ni magari ya kifahari, siasa ni watu wapenzi na wakereketwa
Uonaavyoeveryone is fungible
mimi naona iki ni kipimo cha uvumilivu zaidi, things do change kidogokidogo na sio over one nightkumbe unatambua ss washindane kwa hoja cyo kigezo cha kupata nafac ya kuunda serikali ndio fulsa ya kuwabana wengine kwani wapinzani wao ndio wanakosea cku zote? tatizo wanaeleza ukweli na watawala wanakosa hoja wanalazimika kutumia vbaya nafac zao tuuu
ndo ukweli ulivyo kokote mkuuUonaavyo
uvumilivu gani mtanzania mwenzangu kumbuka watawala hawa wanasababisha watanzania wengine kushindwa kupata haki ya msingi ya mpiga kura kushindwa kuwakilishwa kwa sababu ya matakwa ya wachachemimi naona iki ni kipimo cha uvumilivu zaidi, things do change kidogokidogo na sio over one night