Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Nyinyi ccm ni watu wa hovyo sana.Huyo mtu alivuka mipaka
Nyinyi ccm ni watu wa hovyo sana.Huyo mtu alivuka mipaka
Hata mke wake mwenyewe hamwaamini, Sembuse wewe nani!Hii kesi inakwenda kuwavua nguo kama ile ya Akwilina. Hakuna mtanzania hata mmoja including hao waendesha mashtaka wa serikali anayeamini kuwa Mbowe ni gaidi. Huu uongo labda mkausemee kule Sudani
Unaweza ukawapangia ishu nyingine ya kujadili.Mpaka mwaka unaisha Bavicha wwtakuwa wanajadili tu ishu ya sabaya
Kwa hiyo wewe ndio mke wake sio? Umemiss show naona. Mpelekee kule kule kuna nafasi ya faraghaHata mke wake mwenyewe hamwaamini, Sembuse wewe nani!
uliwahi kumsikia Mke wake anakanusha kuwa sio gaidi?
acha kupoteza muda wako.
Na usalama wa Taifa ulijua hili jambo na haukuweza kufanya chochote maana aliyekwenda ndo mtendaji mkuu huyu sabaya ilikuwa njia tu.Aliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Umeandika nini hiki?!🤮🤮Hakuna binadamu aliyekamilika; hata wewe hapo si ajabu umefanya makosa mengi tu aidha hadharani au kwa kificho. CCM kama ilivyo vyama vingine inaongozwa na binadamu walioumbwa na Mungu. Kukosea kwa mtu mmoja haimaanishi kuwa ni doa kwa chama chote. Wapo viongozi wengi tu wazuri na wanafanya kazi nzuri wanaotoka CCM. Tusijipe mamlaka ya juu ya kuhukumu mapungufu ya mtu isipokuwa kama tu na wewe u msafi kwa 100%
Tusitafute sababu za kukwepa uwajibikaji kisiasa kwa makosa dhahiri.Hakuna binadamu aliyekamilika; hata wewe hapo si ajabu umefanya makosa mengi tu aidha hadharani au kwa kificho. CCM kama ilivyo vyama vingine inaongozwa na binadamu walioumbwa na Mungu. Kukosea kwa mtu mmoja haimaanishi kuwa ni doa kwa chama chote. Wapo viongozi wengi tu wazuri na wanafanya kazi nzuri wanaotoka CCM. Tusijipe mamlaka ya juu ya kuhukumu mapungufu ya mtu isipokuwa kama tu na wewe u msafi kwa 100%
Wakili yeye yuko kazini mkuu...! walikuwa wanajua kabisa tangu mwanzo kwamba hii kesi ya sabaya ni kimeo na kwa ushahidi uliopo hawezi chomoka lakini wao ni lazima wakomae tu na kesi kwa sababu ndiko wanapopatia mkate wao...Yule wakili wake hajitambui, jana anahojiwa anasema hukumu iliyotoka ni nzuri na yeye ameipenda, sasa kama hukumu ni nzuri unakata rufaa ya nini?
Magu alidhani anamsadia huyu dogo kimbe ndiyo alimuharibia future yake, huyu mwenda zake nafikiri hata malezi alikuwa ziroHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
PU!!Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangi
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Legacy inazidi kuchafuka.Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangi😡
Mkonda ni kati ya madoa meusi.Ya Bashite je?!!!
Lakini hao hao wateule wa nduli Jiwe wote walikuwa hawamkubali labda mpango tu.
Nakubali hoja yako lakini haimtoi katika uwajibikaji kwa kuchukua hatua kiduchu. Jukumu la msingi la serikali yo yote inayostahili jina hilo ni kulinda uhai na mali ya raia. Ndiyo maana wastaarabu viongozi wengine husita kusaini kibali cha kumnyongwa raia hata kama mahakama imefikia uamuzi huo! Pia adui vitani ukimteka na hana silaha wala tishio la kupigana huruhusiwi kumwua kwa sheria za kistaarabu. Sasa hii Tanzania wenzetu wanapata wapi kuwanyanyasa binadamu na Watanzania wenzetu. Na kiongozi gani, hata police au mwanajeshi. officer material, ambaye hajui huu ustaarabu kuwa unahitaji kukomeshwa mara moja!?Mkuu ingalau mama Samia kachukua hatua ya kuruhusu uchunguzi wa kijinai ufanyike na mtuhumiwa kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma.
Matokeo tumeyaona, kwa mama Samia hili ni tukio chanya, lakini je akitikea Magufuli mwingine itakuwaje?
Kuna serious failure ya checks and balance katika nchi yetu.Nakubali hoja yako lakini haimtoi katika uwajibikaji kwa kuchukua hatua kiduchu. Jukumu la msingi la serikali yo yote inayostahili jina hilo ni kulinda uhai na mali ya raia. Ndiyo maana wastaarabu viongozi wengine husita kusaini kibali cha kumnyongwa raia hata kama mahakama imefikia uamuzi huo! Pia adui vitani ukimteka na hana silaha wala tishio la kupigana huruhusiwi kumwua kwa sheria za kistaarabu. Sasa hii Tanzania wenzetu wanapata wapi kuwanyanyasa binadamu na Watanzania wenzetu. Na kiongozi gani, hata police au mwanajeshi. officer material, ambaye hajui huu ustaarabu kuwa unahitaji kukomeshwa mara moja!?
Yeye akijisafisha basi serikali itakuwa imepakwa kinyesi, Wananchi tutaamini alichokisema Sabaya kwamba alikuwa anatumwa na mamlaka iliyo juu yake.Bado ameomba kukata rufaa atajisafisha tu.
Hapa kazi tu.
Hakuna Cha doa jeusi,ule utawala ulikuwa wa kishetani tangu mwanzo,utawala mzima ulikuwa mweusi kama mkaa.Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.