Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Kipindi cha serikali ya awamu ya tano tuliona hawa wanasiasa wahuni wengi wao wakikimbia kuwa wakimbizi. Sera ya Hayati Rais Magufuli ya kuwadhibiti hawa wanasiasa na wanaharakati wahuni ilifanikisha kwa kiasi kikubwa kwa miradi mikubwa kuanza na kufanikiwa bila kelele wala matusi. Ni wakati muhimu kwa utawala wa awamu ya sita kufuata nyayo za Hayati Rais Magufuli katika kuwathibiti hawa wahuni wanaoshinda kwenye mikutano yao na mitandaoni kutoa matusi. Rais Samia afanye uteuzi wa uteuzi wa viongozi aina ya kina Makonda na Sabaya.
Long live Hayati Rais Magufuli
Long live Hayati Rais Magufuli