Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,339
Wakili wa sabayaNani? Kasema kuna upungufu
Wakili wa sabayaNani? Kasema kuna upungufu
CCM kama chama, ikishindwa kulidadavua hili, juu ya mapungufu ya Mwenyekiti wake, litaleta shida siku za usoni.Ni kweli mkuu.
Hili tukio la Sabaya ni failure of the checks and balance within the State.
As a democracy we stooped too low!
CCM ilifeli kucheck excesses za Mwenyekiti wake, si vizuri hili likajirudia in future.
Kila tulipokuwa tukisema mlikuwa mnaimba mapambio ya uzalendo.Aliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Utawala wa Magufuli ulijaa mashetani wengi sana chini ya shetani mkuuHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Ziara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Ni kweli.Ziara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!
BAVICHA wanaendelea na makongamano ya katiba nchi nzima wakati huo nyinyi uvccm mkiendelea kuteketea kwa uhalifu. eg Sabaya, Hamza na nyinyi ambao kazi yenu kubinua makalio kwenye mikutano ya chamaMpaka mwaka unaisha Bavicha wwtakuwa wanajadili tu ishu ya sabaya
Umepanic mankaBAVICHA wanaendelea na makongamano ya katiba nchi nzima wakati huo nyinyi uvccm mkiendelea kuteketea kwa uhalifu. eg Sabaya, Hamza na nyinyi ambao kazi yenu kubinua makalio kwenye mikutano ya chama
We kichwa ngumu, tunawaita 1GJiwe anahusika vipi?
Baso wewe mnara unasoma EdgeWe kichwa ngumu, tunawaita 1G
Hahaha, nitake radhi mzee, sijawahi kumuimbia mapambio huyo mtuKila tulipokuwa tukisema mlikuwa mnaimba mapambio ya uzalendo.
Nyie uvccm mavi kabisa
Upo nchi gani broo! Sisi huku tz akifanya vizuri mteuliwa wa raisi sifa zinaenda kwa raisi ila akifanya vibaya sifa mbaya zinaenda kwake mwenyeweHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Hii kesi inakwenda kuwavua nguo kama ile ya Akwilina. Hakuna mtanzania hata mmoja including hao waendesha mashtaka wa serikali anayeamini kuwa Mbowe ni gaidi. Huu uongo labda mkausemee kule SudaniMbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.
Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
CCM isijiume ume maneno kwa sasa.CCM kama chama, ikishindwa kulidadavua hili, juu ya mapungufu ya Mwenyekiti wake, litaleta shida siku za usoni.
Tunajua kuna wafuasi wengi waliopandikizwa na Magufuli kwenye Dola, lakini Mama Samia aende taratibu kuondoa sumu zilizopandikizwa.
Siyo bure kuwa Rsis sasa anafanya ziara Kilimanjaro na Arusha.
Ni hatua nzuri.
Kuna uvccm asiyeimba mapambio hata kwenye uhalifu ?Hahaha, nitake radhi mzee, sijawahi kumuimbia mapambio huyo mtu
Vijana tiifu wa ccm wanakuwa convicted kwa robbery na ccm wako kimya kama hakijatokea kitu.CCM isijiume ume maneno kwa sasa.
Ikiri makosa na kuhakikisha tuliyoyaona ya Sabaya, ujambazi wa kiongizi wa Dola, hayatokei tena na kufumbiwa macho.
Mbeke ya machi ya wananchi CCM haikufanya vile wananchi wanavyotarajia.
Wabaya sanaAliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Huyo mtu alivuka mipakaKuna uvccm asiyeimba mapambio hata kwenye uhalifu ?
Kuna mtu aliwahi kuvuka mipaka kuliko matendo mliyowafanyia watanzania kwenye uchaguzi???Huyo mtu alivuka mipaka