Hilo halijabadilika ila kuna mashtaka mapya na akiyamaliza anapelekwa Moshi akakabiliane na mashata mengine, goma ndiyo kwanza limeanza.Kwa kweli! Mbona kama tuliambiwa utetezi/ushahidi ulikamilika na tunasubiri hukumu tarehe 1 Oktaba. Imekuwaje tena?
Mdogo mdogo tu mwishowe zote zitafika mezani.Hizo kesi bila zile za ubakaji na ulawiti kuunganishwa zitakuwa kazi bure