Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Mh Rais magufuli mfano mbaya anaoutoa SABAYA kwa vijana wengine nchini huku ukiangalia bila kumchukulia hatua ni Jambo baya Sana.
SABAYA anatenda Mambo ya kihuni hachukuliwi hatua siku vijana wengine WAKIMWELEWA itakuwa balaa kubwa Sana.
Wakati nyerere aliwa groom wanasiasa Bora na kuliachia taifa hazina kubwa ya wanasiasa mahiri wewe utatuachia wanasiasa Aina ya makonda na SABAYA hili ni janga kwa taifa.
Bahati mbaya Sana utawala wako ni Kama unabariki matukio ya kihuni wanayofanyiwa wanasiasa wa upinzani.
Amin nakuambia mh Rais wanaolinda utulivu wa nchi hii sio dola ni wapinzani wanaovumilia kufanyiwa uhuni kila siku katika maisha Yao siku uvumilivu ukiwashinda tutapoteana.
Fikiria tukio la akwilina lilivyokuwa mwishowe mkambambikizia mzigo MBOWE hivi wale uvccm waliotumwa kuharibu mkutano wa mbowe wangekatwa shingo pale mngemlaumu Nani?
Amani ni tunda la haki.......!
SABAYA anatenda Mambo ya kihuni hachukuliwi hatua siku vijana wengine WAKIMWELEWA itakuwa balaa kubwa Sana.
Wakati nyerere aliwa groom wanasiasa Bora na kuliachia taifa hazina kubwa ya wanasiasa mahiri wewe utatuachia wanasiasa Aina ya makonda na SABAYA hili ni janga kwa taifa.
Bahati mbaya Sana utawala wako ni Kama unabariki matukio ya kihuni wanayofanyiwa wanasiasa wa upinzani.
Amin nakuambia mh Rais wanaolinda utulivu wa nchi hii sio dola ni wapinzani wanaovumilia kufanyiwa uhuni kila siku katika maisha Yao siku uvumilivu ukiwashinda tutapoteana.
Fikiria tukio la akwilina lilivyokuwa mwishowe mkambambikizia mzigo MBOWE hivi wale uvccm waliotumwa kuharibu mkutano wa mbowe wangekatwa shingo pale mngemlaumu Nani?
Amani ni tunda la haki.......!