Ole Sabaya anatetewa na Wananchi wasiokuwa na mihemko wala Visasi vya Siasa Uchwara za Jimbo la Hai. Acheni haki itendeke

Cuthbert swai anamaliza hela zake bure, sabata ni level nyingine

Ni kweli huyu Sabaya ni level nyingine kwasababu hana akili timamu ni kichaa!! Mimi sijamuita kichaa bali yeye mwenyewe alijita hivyo alipokuwa anamyanyasa Mzee mmoja Captain Mstaafu wa Jeshi nyumbani wake hayo Hai!!! Ukiona clip ile anapomyanyasa afisa yule wa Jeshi Mstaafu utajua kwanini watu wanampigia kelele kuwa hafai kuwa kiongozi!! Mtu yeyote asiyekuwa na adabu kwa Wazee hafai kuwa kiongozi.
 
SABAYA ANASEMEWA NA WANANCHI WASIOKUWA NA MIHEMKO WALA VISASI VYA SIASA UCHWARA ZA JIMBO LA HAI

Kwanza nianze kwa ku- declare interest Mimi sijawahi kumwona ana kwa ana Dc Ole Sabaya bali nimeanza kumfatilia vema kipindi ametatua tatizo la utapeli lililowapata zaidi ya wanafunzi 500 wa Chuo cha ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai, ambako mimi nilikuwa na mabinti zangu wiwili wanaosoma pale mmoja mwaka wa kwanza mwingine wa pili.

Tukio lile la urejeshaji wa ada zilizokuwa zimeibwa kitaalam kwa kutumia mifumo ya kibenki na kupelekea wanafunzi kupatiwa payslips zilizodurufiwa na wajanja wa benki fulani, mhasibu wa chuo na wakala wa benki zilisababisha upotevu wa takribani milioni 76, hapo ndio nilimjua Ole Sabaya baada ya kuingilia na kuhakikisha taasisi za wale wahusika zinazilipa deni lile, ndio ilifungua ukurasa wa mimi kujua huyu mtu ni very potential kwenye taifa letu.

Sasa twende kwenye mada, Nampongeza Rais Samia Suluhu kwa kutumia busara ya Kumsimamisha na kuruhusu uchunguzi wakujua pande zote mbili zinamasaibu gani, lakini wameibuka mahakimu walioamua kutoa hukumu zao jinsi waonavyo wao kutokana na machungu yao ya kisiasa mwaka 2020, imefikia hatua watu wamekodi kurasa za gazeti la Raia Mwema kuandika propaganda zao ili kushinikiza DC huyo aondolewe kazini kwa tuhuma za mitandaoni na chuki binafsi za matapeli aliowahi kuwashugulikia wakiongozwa na Cuthbert Swai.

Pili, Sabaya ametenda mambo mengi sana pale hai ya kudhibiti uhalifu ukitaka kujiridhisha pitia mtandao wa YouTube ushuhudie.

Katika kazi hizo amejizolea maadui wenye nguvu kwasababu aligusa matapeli wenye connection na fedha, pia amejizolea kundi kubwa la wanyonge wasiokuwa na connection kubwa ya kusema katika mitandao na wasiokuwa na uwezo wa kununua kurasa kwenye magazeti, hivyo vita hapa inachezeshwa kitaalamu sana ambapo wanasiasa wenye visasi wamelitafuta lile kundi la matapeli na kulipa mbinu na kulisogeza kwa wataalam wa propaganda ili lijaribu kulipa kisasi na kuwasaidia wanasiasa hao walau kuhema maana ilikuwa hali mbaya kwao endapo Sabaya angeendelea ku-exists katika ukanda wao.

Mimi binafsi siingilii siasa zao zilizopita bali nawakumbusha tu wenye mamlaka kuwa Ole Sabaya anayomakundi mawili alioyatumikia kwanini linasikilizwa kundi lililojiungamanisha na wanasiasa wenye chuki na visasi?

Kwanini kundi la wananchi waliotendewa haki halipewi kipaumbele? Au kwa kuwa halina uwezo wa kuajiri wapika majungu wa kuandika mitandaoni? Au kwa kuwa halina uwezo wa kulipia kurasa za magazeti za kuandika mema ya mtu wao?

Tatu, kuna kundi limetokea likijaribu kudhibiti Sabaya asipate utetezi kabisa mahali popote hii ilianza siku alipohojiwa clouds Tv na sasa hawataki watu wamsemee mema aliofanya, wamefika hatua wanadai utetezi juu ya sabaya unaratibiwa na mwenyewe?

Hahaha inachekesha, Mtu mnaesema amekamatwa yuko lokapu anaweza vipi kuratibu masuala ya nje? Kwa waliowahi ingia lupango wanafahamu kuwa hilo ni ngumu mno kutokea, Nyie andikeni mlivyoagizwa na mabosi wenu kuandika lakini acheni demokrasia ya watu wengine kuandika iwepo.

Msimpangie Rais Samia, anaclear doubts zenu juu ya Sabaya msi-take advantage ya kumpangia matokeo ya uchunguzi yaweje, acheni maombi yetu wanyonge yatende kazi ya kufuta uongo za uzandiki mlioutengeneza kwa muda mrefu.

Kumbukeni Kila penye Ukweli, Uongo hujitenga Pembeni. Utafika wasaa wa Uongo kujitenga na ukweli utajidhihirisha, Kwa maana Uongo Unasafiri maili nyingi kwa Kwenda duniani Kabla Hata Ukweli Haujaamka. Ni suala la Muda tu.

Wasalaam Anatory Massawe.
Screenshot_20210528-120440_Instagram.jpg
 
Bank ya dunia wasingetangaza Tanzania imefika uchumi wa kati tungedanganywa sana na wapuuzi chadema kama wewe.
Hivi unajua anayepata 0 na anayepata 29 wote wanaufaulu wa F. Sasa TZ tunauchumi F japo hatupo kwenye sifuri
 
SABAYA ANASEMEWA NA WANANCHI WASIOKUWA NA MIHEMKO WALA VISASI VYA SIASA UCHWARA ZA JIMBO LA HAI

Kwanza nianze kwa ku- declare interest Mimi sijawahi kumwona ana kwa ana Dc Ole Sabaya bali nimeanza kumfatilia vema kipindi ametatua tatizo la utapeli lililowapata zaidi ya wanafunzi 500 wa Chuo cha ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai, ambako mimi nilikuwa na mabinti zangu wiwili wanaosoma pale mmoja mwaka wa kwanza mwingine wa pili.

Tukio lile la urejeshaji wa ada zilizokuwa zimeibwa kitaalam kwa kutumia mifumo ya kibenki na kupelekea wanafunzi kupatiwa payslips zilizodurufiwa na wajanja wa benki fulani, mhasibu wa chuo na wakala wa benki zilisababisha upotevu wa takribani milioni 76, hapo ndio nilimjua Ole Sabaya baada ya kuingilia na kuhakikisha taasisi za wale wahusika zinazilipa deni lile, ndio ilifungua ukurasa wa mimi kujua huyu mtu ni very potential kwenye taifa letu.

Sasa twende kwenye mada, Nampongeza Rais Samia Suluhu kwa kutumia busara ya Kumsimamisha na kuruhusu uchunguzi wakujua pande zote mbili zinamasaibu gani, lakini wameibuka mahakimu walioamua kutoa hukumu zao jinsi waonavyo wao kutokana na machungu yao ya kisiasa mwaka 2020, imefikia hatua watu wamekodi kurasa za gazeti la Raia Mwema kuandika propaganda zao ili kushinikiza DC huyo aondolewe kazini kwa tuhuma za mitandaoni na chuki binafsi za matapeli aliowahi kuwashugulikia wakiongozwa na Cuthbert Swai.

Pili, Sabaya ametenda mambo mengi sana pale hai ya kudhibiti uhalifu ukitaka kujiridhisha pitia mtandao wa YouTube ushuhudie.

Katika kazi hizo amejizolea maadui wenye nguvu kwasababu aligusa matapeli wenye connection na fedha, pia amejizolea kundi kubwa la wanyonge wasiokuwa na connection kubwa ya kusema katika mitandao na wasiokuwa na uwezo wa kununua kurasa kwenye magazeti, hivyo vita hapa inachezeshwa kitaalamu sana ambapo wanasiasa wenye visasi wamelitafuta lile kundi la matapeli na kulipa mbinu na kulisogeza kwa wataalam wa propaganda ili lijaribu kulipa kisasi na kuwasaidia wanasiasa hao walau kuhema maana ilikuwa hali mbaya kwao endapo Sabaya angeendelea ku-exists katika ukanda wao.

Mimi binafsi siingilii siasa zao zilizopita bali nawakumbusha tu wenye mamlaka kuwa Ole Sabaya anayomakundi mawili alioyatumikia kwanini linasikilizwa kundi lililojiungamanisha na wanasiasa wenye chuki na visasi?

Kwanini kundi la wananchi waliotendewa haki halipewi kipaumbele? Au kwa kuwa halina uwezo wa kuajiri wapika majungu wa kuandika mitandaoni? Au kwa kuwa halina uwezo wa kulipia kurasa za magazeti za kuandika mema ya mtu wao?

Tatu, kuna kundi limetokea likijaribu kudhibiti Sabaya asipate utetezi kabisa mahali popote hii ilianza siku alipohojiwa clouds Tv na sasa hawataki watu wamsemee mema aliofanya, wamefika hatua wanadai utetezi juu ya sabaya unaratibiwa na mwenyewe?

Hahaha inachekesha, Mtu mnaesema amekamatwa yuko lokapu anaweza vipi kuratibu masuala ya nje? Kwa waliowahi ingia lupango wanafahamu kuwa hilo ni ngumu mno kutokea, Nyie andikeni mlivyoagizwa na mabosi wenu kuandika lakini acheni demokrasia ya watu wengine kuandika iwepo.

Msimpangie Rais Samia, anaclear doubts zenu juu ya Sabaya msi-take advantage ya kumpangia matokeo ya uchunguzi yaweje, acheni maombi yetu wanyonge yatende kazi ya kufuta uongo za uzandiki mlioutengeneza kwa muda mrefu.

Kumbukeni Kila penye Ukweli, Uongo hujitenga Pembeni. Utafika wasaa wa Uongo kujitenga na ukweli utajidhihirisha, Kwa maana Uongo Unasafiri maili nyingi kwa Kwenda duniani Kabla Hata Ukweli Haujaamka. Ni suala la Muda tu.

Wasalaam Anatory Massawe.
You are right.
Propaganda fake zinateka akili za wasiochunguza mambo.
Sabaya ni mwanasiasa mahiri na mtendaji shupavu.
Namuombea upepo huu upite, azidi kupepea kisiasa.
 
SABAYA ANASEMEWA NA WANANCHI WASIOKUWA NA MIHEMKO WALA VISASI VYA SIASA UCHWARA ZA JIMBO LA HAI

Kwanza nianze kwa ku- declare interest Mimi sijawahi kumwona ana kwa ana Dc Ole Sabaya bali nimeanza kumfatilia vema kipindi ametatua tatizo la utapeli lililowapata zaidi ya wanafunzi 500 wa Chuo cha ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai, ambako mimi nilikuwa na mabinti zangu wiwili wanaosoma pale mmoja mwaka wa kwanza mwingine wa pili.

Tukio lile la urejeshaji wa ada zilizokuwa zimeibwa kitaalam kwa kutumia mifumo ya kibenki na kupelekea wanafunzi kupatiwa payslips zilizodurufiwa na wajanja wa benki fulani, mhasibu wa chuo na wakala wa benki zilisababisha upotevu wa takribani milioni 76, hapo ndio nilimjua Ole Sabaya baada ya kuingilia na kuhakikisha taasisi za wale wahusika zinazilipa deni lile, ndio ilifungua ukurasa wa mimi kujua huyu mtu ni very potential kwenye taifa letu.

Sasa twende kwenye mada, Nampongeza Rais Samia Suluhu kwa kutumia busara ya Kumsimamisha na kuruhusu uchunguzi wakujua pande zote mbili zinamasaibu gani, lakini wameibuka mahakimu walioamua kutoa hukumu zao jinsi waonavyo wao kutokana na machungu yao ya kisiasa mwaka 2020, imefikia hatua watu wamekodi kurasa za gazeti la Raia Mwema kuandika propaganda zao ili kushinikiza DC huyo aondolewe kazini kwa tuhuma za mitandaoni na chuki binafsi za matapeli aliowahi kuwashugulikia wakiongozwa na Cuthbert Swai.

Pili, Sabaya ametenda mambo mengi sana pale hai ya kudhibiti uhalifu ukitaka kujiridhisha pitia mtandao wa YouTube ushuhudie.

Katika kazi hizo amejizolea maadui wenye nguvu kwasababu aligusa matapeli wenye connection na fedha, pia amejizolea kundi kubwa la wanyonge wasiokuwa na connection kubwa ya kusema katika mitandao na wasiokuwa na uwezo wa kununua kurasa kwenye magazeti, hivyo vita hapa inachezeshwa kitaalamu sana ambapo wanasiasa wenye visasi wamelitafuta lile kundi la matapeli na kulipa mbinu na kulisogeza kwa wataalam wa propaganda ili lijaribu kulipa kisasi na kuwasaidia wanasiasa hao walau kuhema maana ilikuwa hali mbaya kwao endapo Sabaya angeendelea ku-exists katika ukanda wao.

Mimi binafsi siingilii siasa zao zilizopita bali nawakumbusha tu wenye mamlaka kuwa Ole Sabaya anayomakundi mawili alioyatumikia kwanini linasikilizwa kundi lililojiungamanisha na wanasiasa wenye chuki na visasi?

Kwanini kundi la wananchi waliotendewa haki halipewi kipaumbele? Au kwa kuwa halina uwezo wa kuajiri wapika majungu wa kuandika mitandaoni? Au kwa kuwa halina uwezo wa kulipia kurasa za magazeti za kuandika mema ya mtu wao?

Tatu, kuna kundi limetokea likijaribu kudhibiti Sabaya asipate utetezi kabisa mahali popote hii ilianza siku alipohojiwa clouds Tv na sasa hawataki watu wamsemee mema aliofanya, wamefika hatua wanadai utetezi juu ya sabaya unaratibiwa na mwenyewe?

Hahaha inachekesha, Mtu mnaesema amekamatwa yuko lokapu anaweza vipi kuratibu masuala ya nje? Kwa waliowahi ingia lupango wanafahamu kuwa hilo ni ngumu mno kutokea, Nyie andikeni mlivyoagizwa na mabosi wenu kuandika lakini acheni demokrasia ya watu wengine kuandika iwepo.

Msimpangie Rais Samia, anaclear doubts zenu juu ya Sabaya msi-take advantage ya kumpangia matokeo ya uchunguzi yaweje, acheni maombi yetu wanyonge yatende kazi ya kufuta uongo za uzandiki mlioutengeneza kwa muda mrefu.

Kumbukeni Kila penye Ukweli, Uongo hujitenga Pembeni. Utafika wasaa wa Uongo kujitenga na ukweli utajidhihirisha, Kwa maana Uongo Unasafiri maili nyingi kwa Kwenda duniani Kabla Hata Ukweli Haujaamka. Ni suala la Muda tu.

Wasalaam Anatory Massawe.
Hakuna kitu hapa. Maneno meengi yenye pointless tupu
 
Mi nimeona hii tabia wanayo vijana wengi wadogo wanaoanza kwenda kwa waganga wa kienyeji bado wadoho.

Wana tabia kama za huyu ndg.

Ana aminishwa na mganga basi anajiona Mungu mdogo, mpake aangukie pua nfio anaanza kushangaa sasa.

Sasa Asubiri mtu afe awe atumbuliwe vinginvyo pdf limejitosheleza
 
Kwa kifupi,
SSH, VP, PM , IGP na wengineo. Wakati Sabaya analalamikiwa na kutuhumiwa kuwa anafanya mambo ya Ukatili na Unyanyasaji kwa Raia mlisikia sana sababu Intelijensia ina nguvu ya kupata taarifa kwa urahisi kuliko humu. Tusijiulize kwa nini mlinyamaza???.

Sote tunaijua sababu ya ninyi kunyamza. Mlifahamu kuwa yawezekana kuna aliye juu aliemtuma au aliembariki kufanya hayo..ambaye pia alituma wengi na kufanya mengi makubwa.

Vip wale Wasiojulikana walioteka na kutesa watu mnawatafuta?. Kama ninyi kwa nafasi zenu (Namba 2, 3, VP ulikuwa ktk baraza, IGP ukiwa ktk nafasi yako) mlishindwa kufanya kitu, ikiwa mlishindwa kumwambia Hayati kwa kuhofia kule RED CARD na mkanyamaza sasa why Sabaya ambaye kwa protocol yupo chini sana akatae maagizo na maelekezo?

Maeneo mangapi Hayati alitumbua watu kwa kuonea tu wananchi?..Hakuwahi kupita hai?.. hakuwahi kusikia ya mteule wake?..

Mwacheni Lengai apumzike, pia tuache hizi mind games za kucheza na Watanzania.

Njia ya pekee ya kuresolve haya masuala ni kuanza Upya kwani kila mmoja wenu aliumiza watu kwa nafasi yake au kwa kukaa kimya na kuwa mnafiki licha ya kuwa mlikuwa na nafasi ya kusema au kuamua jambo.
 
Wewe umejuaje kuwa SSH na PM walimwambia/walimshauri JPM kuhusu huyo mtu? Huwenda walishauri ila hakuchukua hatua? Hivi Unaweza kumlazimisha bosi wako akubaliane na ushauri wako? Au ulitaka watoke hadharani na kusema tumemshauri mkuu amwajibishe Sabaya ila amekataa?
 
Kwani sabaya amefanyiwa baya lipi ndio mana ya utawala wa sheria tume itakuja na majibu km msafi anarudi kzn kama gaidi anaenda jela.
 
Kwa kifupi,
SSH, VP, PM , IGP na wengineo. Wakati Sabaya analalamikiwa na kutuhumiwa kuwa anafanya mambo ya Ukatili na Unyanyasaji kwa Raia mlisikia sana sababu Intelijensia ina nguvu ya kupata taarifa kwa urahisi kuliko humu. Tusijiulize kwa nini mlinyamaza???... Sote tunaijua sababu ya ninyi kunyamza. Mlifahamu kuwa yawezekana kuna aliye juu aliemtuma au aliembariki kufanya hayo..ambaye pia alituma wengi na kufanya mengi makubwa.. Vip wale Wasiojulikana walioteka na kutesa watu mnawatafuta?. Kama ninyi kwa nafasi zenu (Namba 2, 3, VP ulikuwa ktk baraza, IGP ukiwa ktk nafasi yako) mlishindwa kufanya kitu, ikiwa mlishindwa kumwambia Hayati kwa kuhofia kule RED CARD na mkanyamaza sasa why Sabaya ambaye kwa protocol yupo chini sana akatae maagizo na maelekezo????.... Maeneo mangapi Hayati alitumbua watu kwa kuonea tu wananchi?..Hakuwahi kupita hai?.. hakuwahi kusikia ya mteule wake?..

Mwacheni Lengai apumzike, pia tuache hizi mind games za kucheza na Watanzania.
Njia ya pekee ya kuresolve haya masuala ni kuanza Upya kwani kila mmoja wenu aliumiza watu kwa nafasi yake au kwa kukaa kimya na kuwa mnafiki licha ya kuwa mlikuwa na nafasi ya kusema au kuamua jambo.
Mimba nyingine bana. Yaani babako kabisa akatoa jasho kukutafuta. Bora angeenda kula bange. Sabaya hasafishiki man, zipo tuhuma nyingi sana tangu hayati hajatwaliwa. Watu wameoiga kelele kuhusu huyu mtu ila jiwe alikaa kimya ili amkomoe Mbowe. Karma ipo sio masihara. Hata wewe unaemtetea huyu jambazi ipo siku jambazi mwingine atakufanyia uhuni na raia watamtetea huku ukiangalia kwa macho huku roho ikikuuma usijue cha kufanya. Vipo vingi vya kuandika ila kumtetea jambazi unajitafutia laana kwa nguvu
 
Wewe umejuaje kuwa SSH na PM walimwambia/walimshauri JPM kuhusu huyo mtu? Huwenda walishauri ila hakuchukua hatua? Hivi Unaweza kumlazimisha bosi wako akubaliane na ushauri wako? Au ulitaka watoke hadharani na kusema tumemshauri mkuu amwajibishe Sabaya ila amekataa?
Kama Meko alikataa, Unajifunza nini hapo. Order au approval alitoa nani?.. wao wameshindwa kuzizua, Lengai angefanya nini?
 
Mimba nyingine bana. Yaani babako kabisa akatoa jasho kukutafuta. Bora angeenda kula bange. Sabaya hasafishiki man, zipo tuhuma nyingi sana tangu hayati hajatwaliwa. Watu wameoiga kelele kuhusu huyu mtu ila jiwe alikaa kimya ili amkomoe Mbowe. Karma ipo sio masihara. Hata wewe unaemtetea huyu jambazi ipo siku jambazi mwingine atakufanyia uhuni na raia watamtetea huku ukiangalia kwa macho huku roho ikikuuma usijue cha kufanya. Vipo vingi vya kuandika ila kumtetea jambazi unajitafutia laana kwa nguvu
Ungeelewa Usingebwabwaja Hivi. Kama ni Kudeal na Lengai basi kina PM walitakiwa nao wahojiwe kwa kukosa uwajibikaji akiwemo SSH na VP pia
 
Back
Top Bottom