Huyu Mnyeti ndo nyeti zaidi kuliko wote. Huyu ndo muasisi wa mission ya kushawishi makada wa upinzani "kuunga mkono juhudi"Ndugai, Chalamila, Mnyeti, Jerry Muro na RC Mtwara japo amefukuzwa karibuni
Huyu Mnyeti ndo nyeti zaidi kuliko wote. Huyu ndo muasisi wa mission ya kushawishi makada wa upinzani "kuunga mkono juhudi"Ndugai, Chalamila, Mnyeti, Jerry Muro na RC Mtwara japo amefukuzwa karibuni
Huyu Mnyeti ndo nyeti zaidi kuliko wote. Huyu ndo muasisi wa mission ya kushawishi makada wa upinzani "kuunga mkono juhudi"Ndugai, Chalamila, Mnyeti, Jerry Muro na RC Mtwara japo amefukuzwa karibuni
Tusimhukumu Samia kabla, lets wait and seehata Kangi na Simbachawene walikamatwa wakichukua rushwa live kabisa JIWE akawafutia kesi na kuwateua uwaziri.
CCM ni ile ile jombaa.
Sikiliza hotuba ya mbowe jana.
Ushindi wa Nini we pimbi, huyu Ni jambazi tu anatakiwa kuwa jela
+ Alli HapiHuyu Mnyeti ndo nyeti zaidi kuliko wote. Huyu ndo muasisi wa mission ya kushawishi makada wa upinzani "kuunga mkono juhudi"
Inawezekana but kumchanganya na muuaji na mnyang'anyi Sabaya hilo sio sawa, tumtafutie kundi lake lingine sio la kina Sabaya na Makonda bhanaYule siyo mzima kichwani
Mataga bana, hizo ndo akili alizowaachia mwendazakeUkiona gazeti kama hili habari yake kubwa miezi mitatu mfululizo ni Ole Sabaya tu tena kwa habari za uzushi, ujue muda si mrefu litatoka kwenye litapotea.
😂😂 Mayalla tena
Kiini macho tu kutuzuga wananchi....
Hivi kwanza Kakoko yupo wapi now?
Kwa nini adhabu kubwa hivyo?Kifungo cha Maisha au Kifo vinamstahili.
Sante we nilisahau Jerry Muro, Mnyeti anaenda na beat ya mziki. SASA hivi katulia keshajua mama hakufundishwa dhulma na wazazi wake.Ndugai, Chalamila, Mnyeti, Jerry Muro na RC Mtwara japo amefukuzwa karibuni
PoaMagu angetawala hata miaka 10 tungepata kina Sabaya kama 20 hivi. Watatu tayari wapo, Makonda, Sabaya na Heri James.
Sante we nilisahau Jerry Muro, Mnyeti anaenda na beat ya mziki. SASA hivi katulia keshajua mama hakufundishwa dhulma na wazazi wake.
bado rehema chalamila na happy, hawa siku yao yaja
Mkuu si uende wewe tu😃😃 waonyeshe mfano wataoga vijanaSure,sema mitoto ya sasa hivi mioga Sana.
Magu angetawala hata miaka 10 tungepata kina Sabaya kama 20 hivi. Watatu tayari wapo, Makonda, Sabaya na Heri James.
Ukimtaja Kabudi usimdahau Mollel na mwenzake.Chalamila mbona mtu poa sana mkuu? Labda ule ucomedy wake tu, ila mengine naona yupo poa, and kipindi cha Magu wateule wote walichizika, si ulimuona Kabudi akinywa zile takataka za Covid from Madagascar?