Kihongosi, HappiMagu angetawala hata miaka 10 tungepata kina Sabaya kama 20 hivi. Watatu tayari wapo, Makonda, Sabaya na Heri James.
Kihongosi, HappiMagu angetawala hata miaka 10 tungepata kina Sabaya kama 20 hivi. Watatu tayari wapo, Makonda, Sabaya na Heri James.
What about you? Why uwanyooshee vidole wengine wakati wewe unacomment kwa jina bandia hapaSure,sema mitoto ya sasa hivi mioga Sana.
Inachukua muda gani?Pata lain ya uwakala huko ulipo kwa majina yako yaan
Mpesa
Tigopesa
Airtelmoney
Halotel
Malipo baada ya kazi njoo pm
Hili jambazi inastahili liuawe, halafu ije taarifa " Liliuawa wakati likijaribu kuwatoroka polisi"
Ashughulikiwe kikamilifu jambazi huyu.
Kila binadamu ana haki ya kuishi,jukumu la polisi Ni kuhakikisha inawatia mikononi wahalifu,Kisha wafikishwe mahakamani .Hili jambazi inastahili liuawe, halafu ije taarifa " Liliuawa wakati likijaribu kuwatoroka polisi"
Tunaendeleza alipoishia meko...aliteka, alitesa, aliua. Meko ni role model wangu, nimerithi damu yake ya kigaidi.Kila binadamu ana haki ya kuishi,jukumu la polisi Ni kuhakikisha inawatia mikononi wahalifu,Kisha wafikishwe mahakamani .
Kifungo cha Maisha au Kifo vinamstahili.
Anza weweSure,sema mitoto ya sasa hivi mioga Sana.
Hiyo nayo imekaa poa aisee!Kwamba unamdeal mtu kimya kimya bila kuhusisha physical battle (ambayo unaweza kumdhuru mtu halafu ukaishia kufia jela Isanga).Sasahivi tuna tumia waganga wa kienyeji kule Sumbawanga hawana haraka wanakunyoosha vizuri sn
Ukiona gazeti kama hili habari yake kubwa miezi mitatu mfululizo ni Ole Sabaya tu tena kwa habari za uzushi, ujue muda si mrefu litatoka kwenye litapotea.