Old School Special Thread

Kwa hiyo unatuona Wazee sana sio?
Weye huutaki ukongwe? najaribu kuwaza baada ya miaka 30 utafunguliwa uzi kisha wazee wa wakati huo ujao watakapoanza kufunguka kuhusu mwamba na man fongo huku vijana wa wakati huo wakiwa wadadisi kutaka kujua man fongo alikuwa mahiri kiasi gani! najikuta nauheshimu wakati na zama zake.
 
Kalunde mama

Lets get it on....

I Will Survive .......

Stuck on you ......

Purple rain......


Man in the mirror ....
 
Ballerina girl
You are so lovely
With you standing there
I'm so aware
Of how much I care for you
You are more than now
You are for always
I can see in you my dreams come true
Don't you ever go away

You make me feel like
There's nothing I can't do
And when I hold you
I only want to say
I love you
 


Mnawakumbuka GWM ...gangsters with matatizo ?? Chief D na KR hapo ...hapo bado mmoja
 
Wadada wanaopenda old school hits hua wananivutia sana really..halafu wagumu kupatikana..hit gan nyingine unaikumbuka nifah [emoji5][emoji5][emoji4]
Mimi huwa inatokea tu naupenda wimbo no matter ni wa zamani kiasi gani.
Kama huu wa Hello...nilitokea kuupenda mwaka 2009 coz my first love alikuwa anampenda sana Lionel Richie [emoji85][emoji85]
 
Nlikua nazo kuna washkaj nao wa kitambo walikuja kuchukua hawajanirudishiaga sjapata mda kwenda kuzitafuta cd mpya na kuna nyingine hamna nyimbo zote yan ntaku pm mkuu
Isijekuwa ndio yeye kati ya hao washkaji zako waliozikuchua [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana JF hii ya fake Id's taabu tupu.
 
Mimi huwa inatokea tu naupenda wimbo no matter ni wa zamani kiasi gani.
Kama huu wa Hello...nilitokea kuupenda mwaka 2009 coz my first love alikuwa anampenda sana Lionel Richie [emoji85][emoji85]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wow...interesting
 
Mimi huwa inatokea tu naupenda wimbo no matter ni wa zamani kiasi gani.
Kama huu wa Hello...nilitokea kuupenda mwaka 2009 coz my first love alikuwa anampenda sana Lionel Richie [emoji85][emoji85]
Wa ballerina girl wa lionel ritchie je?? Au kitu "all night long"
 
Tancut almas ya kina kasaroo kyanga na kyanga songa.....
Achana na wale watu aisee...!!..
Bila kusahau kundi zima la kimulimuli jazz, chini ya uongozi wa zahoro ally.

Walikuja na nyimbo ya kizalendo iitwayo -

Wazazi- tumerudi kishujaa.
 
Marahaba kwa niaba yake.
Najua ulikuwa Mtoto sana enzi za kina Black Moses, Mc Digadiga.
Nyimbo za kina Marijani Rajabu, Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba

Unajua kisa cha Watu kuitwa "kilaz.a"?

Uzee raha!!!!
Umesahau kokoliko, super ngedere. Hii ilikuwa ndani ya ukumbi wa lang'ata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…