Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kiongozi! Kiongozi! Kiongozi!Yeah, head wao alikuwa mkali sana yule mama, tuliwahi kutoa upepo basi lao one day ilipofika saa 4 walipotaka kuondoka, ilikuwa issue kubwa tukawa burnned kucheza nao disko kwa muda, yeah walicheza na uniform na mitaa kibao - wale mastaa zaidi walicheza kwenye taa karibu na DJ, wezangu mie walijifisha kwenye giza giza kwa nyuma.
Umenikumbusha mbali sana! Inawezekana tulisoma darasa moja.
Kampeni ya kulitoa upepo lile gari nami nilihusika.
Mwalimu Mpande nusura atukamate. Ingekuwa soo nakwambia.
Nakumbuka Sakata la kuingizwa pale uwanja wa tenis kwenye foleni ya waalimu wataalam wa kutandika bakora.....
Hapa Bob Kasenge, Hapa the killer Munuo........ Acha kabisa!