ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
- Thread starter
- #61
Siku za disko ilikuwa ni special; kula kwa macho by 0 distanceNakumbuka sie korogwe girls wavulana wetu walikuwa watu wa Tanga School,nao walikuwa mafundi na mikono yao migumu!,tulikuwa tunaazima anzia gauni mkpaka viatu toka kwa watoto wa walikuwa nazo!