Old school days - Mko wapi?

Old school days - Mko wapi?

Nakumbuka sie korogwe girls wavulana wetu walikuwa watu wa Tanga School,nao walikuwa mafundi na mikono yao migumu!,tulikuwa tunaazima anzia gauni mkpaka viatu toka kwa watoto wa walikuwa nazo!
Siku za disko ilikuwa ni special; kula kwa macho by 0 distance
 
Afu ule mtindo wenu wa kuchangishana pesa kuwapa ma DJ ili wapige slow music zaidi ninyi mkiita Blues - haukuwa mzuri.

Nakumbuka lile song la " should I say yes...should I say noo" linapigwa 30min duh baada ya hapo ni nyaka nyaka
 
Ha ha ha like kilikuwa kifaa ila naskia yule ticha handsome Mr.Pyuza alikuwa mdau pale kiaina.
Kwahiyo alikuwa anamwibia mwalimu mwenzake Futa? Ila Pyuza kama ni kukanyaga amewakanyaga sana mabinti. Hivi sasa yuko Marekani
 
Afu ule mtindo wenu wa kuchangishana pesa kuwapa ma DJ ili wapige slow music zaidi ninyi mkiita Blues - haukuwa mzuri.

Nakumbuka lile song la " should I say yes...should I say noo" linapigwa 30min duh baada ya hapo ni nyaka nyaka
Hahahahaaa.... LOL
 
wale wa AZA BOY NA TAMBAZA naona wako kimya...
 
Kwahiyo alikuwa anamwibia mwalimu mwenzake Futa? Ila Pyuza kama ni kukanyaga amewakanyaga sana mabinti. Hivi sasa yuko Marekani
Jamaa alikuwa slow mover & silent killer ; akiingia class anatuambia "nimesoma madarasa hadi wakaniambia no class aheard; sisi tunamwona bonge la msomi hatari!! he was good ila kwa totoz hataree
 
Kiongozi! Kiongozi! Kiongozi!
Umenikumbusha mbali sana! Inawezekana tulisoma darasa moja.
Kampeni ya kulitoa upepo lile gari nami nilihusika.
Mwalimu Mpande nusura atukamate. Ingekuwa soo nakwambia.

Nakumbuka Sakata la kuingizwa pale uwanja wa tenis kwenye foleni ya waalimu wataalam wa kutandika bakora.....
Hapa Bob Kasenge, Hapa the killer Munuo........ Acha kabisa!
Mkuu we ni hataree, bob Senge alivoona muda umeisha akatinga disko kamnyanganya DJ kisemeo " Mimi ni 2nd master wa shule hii nasema disko nimelifunga rasmi" aaah mzee watu bado ni zero distance as if nothing had happened; " narudia tena Mimi ni 2nd master wa shule hii....." watu kuona ivo isiwe taabu ni kutoa gari upepo ha ha ha

Cha ajabu mabinti hawakuchukia tukakaa nao pale karibu na uwanja wa tenis tukipiga soga tukisubiri tairi likazibwe town...
 
Mkuu we ni hataree, bob Senge alivoona muda umeisha akatinga disko kamnyanganya DJ kisemeo " Mimi ni 2nd master wa shule hii nasema disko nimelifunga rasmi" aaah mzee watu bado ni zero distance as if nothing had happened; " narudia tena Mimi ni 2nd master wa shule hii....." watu kuona ivo isiwe taabu ni kutoa gari upepo ha ha ha

Cha ajabu mabinti hawakuchukia tukakaa nao pale karibu na uwanja wa tenis tukipiga soga tukisubiri tairi likazibwe town...
Sitasahau ile siku. Siku tulienda kwa show ya drama... nikakutana na mrembo wangu tukaongea sana. Ile tunarudi usiku kwenye Katara kademu kangu ka form two six kakanigomea kukabamba kwenye giza... kalinisusia...kakilalamika eti nimekaona "pori" nikajishaua na toto la Kibosho girls. Dah
.

Ila kalikuwa kananibeba sana kukabambia pale Dark corner.
 
sisi shuleni kwetu disco ilikuwa mwisho saa 12, then mnaenda kula mkumaliza mnaenda Prep. na mwalimu alikuwa anakuja kukagua mabwenini kama hakuna watu. hapo prep muda wote ni kusimuliana tu jinsi manjemba yalivyokuwa yanachemsha kwa kumwaga sera
Shule gani hiyo; sera za wakati huo like nipe jina na anuani yako tuwe tunaandikiana barua
 
Wao superb. Mnanikumbusha DABANGA CAMP -Minaki kwa O'Level na Old Moshi na Mzumbe kwa A'Level. Miye kazi yangu ilikuwa ni kuuza sigara ndani ya ukumbi hakuna kucheza wala mama yake kucheza, ni ujasiriamali kwa kwenda mbele. Blues unajikumbatia pekeyako hakuna cha mtoto. Aaaaaaaaaaaaaah! ni long time and funny
Ulikuwa kundi la wagumu siyo!!
 
Vijana wa enzi hizo mpo? maana sasa hivi mna approch 50 yrs!! kweli miaka imewakimbia....hamna namna ya kuukwepa uzee...

Wale wasichana wakali wa enzi hizo Weruweru, Kibosho Girls, Kiraeni, Masama Girls.. sasa hivi ni watu wazima na wajukuu...
 
Wale wa Kwiro Boys na Kasita Seminary tuliokuwa tunagombea wadada wa Regnamund Girls tufahamiane hapa.
 
Back
Top Bottom