ni kweli amemaliza kifungo huwa anaonekana maeneo ya mlimani city
Huyu jamaa nimemwona asubuhi ya leo akiwa ndani ya Prado inayoendeshwa na mtu mwingine pale Kona karibu na Bahama mama naye akisoma Gazeti la Mwananchi!!!!!
DU!!!!!!!!!
Who the hell is this man?
huyu bwana alikuwa na ushamba wa kibongo.. make mambo aliyoyafanya mpaka ifikie kukamatwa yalikuwa ya kitoto mno. kanunua Jaguar mpya mbili kwa mpigo hafafu katangaza kwenye website.. kuonyesha picha za hizo gari. FBI kwanini wasianze kumfatilia, kazi yake haiweze kumpa pesa ya kununua hizo gari. halafu hajachukua mkopo sehemu yoyote.Weka picha yake.........!
huyu bwana alikuwa na ushamba wa kibongo.. make mambo aliyoyafanya mpaka ifikie kukamatwa yalikuwa ya kitoto mno. kanunua Jaguar mpya mbili kwa mpigo hafafu katangaza kwenye website.. kuonyesha picha za hizo gari. FBI kwanini wasianze kumfatilia, kazi yake haiweze kumpa pesa ya kununua hizo gari. halafu hajachukua mkopo sehemu yoyote.
wakamuwekeya mtego kidogo kanaswa na kundi lake lote.. Ulimbukeni wa kibongo.. wanapofika majuu.nakujifanya wenyeji.
ndo hicho kilicho mwingiza lupango wazee..
Ila kama karudi basi ashukuru mungu sisi bado tunaendelea kubeba boxes.
Samahani wadau, nauliza mnaomfahamu huyu, kuna mtu aliyefariki siku za karibuni, alifia nje ya nchi, somebody Njaidi ni ndugu yake au...............