OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

Hii article imeandikwa na mkuda mmoja mwenye malengo yake binafsi! Hainiingii akilini Intelligensia ya KGB ya bwana Puttin isilijue hili mpaka ikubali nchi yake ya Russia kuwa miongoni mwa wanachama. Hivi nchi ngapi Africa zimejiunga na OIC hapa Afrika tena nchi ambazo waislamu ni asilimia ndogo sana kama Uganda na Mozambique na je wameathirika na uanachama wao wa OIC? Hebu acheni propaganda zisizo na kichwa wala miguu kwa mambo msiyoyajua:

Wewe mleta hoja kama kweli una uhakika na unachokisema hebu tuletee reliable source hata kama inatokea Vatican nitaikubali! Huna lolote na roho yako ya fitna.

Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

Member states of the Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

http://www.oic-oci.org/home.asp



Fuatilia hizo link ujue ukweli kuhusu OIC!





Mozambique haikujiunga kwa sababu OIC ilikuwa na mazuri yoyote bali ilifanya hivyo kipindi Afrika Kusini ikiwa chini ya makaburu na wakati huo kulikuwa na kikundi cha kibaguzi cha Kiyahudi hapo SA amabacho kilikuwa kinaunga mkono wahasi wa Mozambique. Kwa hasira na kama kusema adui yako mpe kero kwa kujiunga na adui yake basi Mozambique ikajiunga na OIC. Uganda nao ni hivyo hivyo walijiunga kipindi inatawaliwa na Idd Amin. Hakukuwa na muafaka wa kitaifa kwa kufanya hivyo but sort of bulldozing. Naiweka record sawa.

Lakini hii haituzuii Watanzania kujadili umuhimu wa kujiunga na OIC kama organisation. Kinacholeta shaka ni kuwa wanaoipigia OIC chapuo ni Waislamu. Kama UMOJA huu una faida kwa watu wa dini zote kwanini sehemu moja ya Watanzania ndio imekuwa inasisitiza kujiunga? Kwanini isiwe ni muafaka wa Watanzania wote? Kama ni misaada kwa Waislamu basi wao na vyama vyao wajiunge kuliko nchi
 
Bora kuvunja Muungano ili Znz iweze kujiung na OIC kama walivyojiunga jirani zenu wa nchi za kenya, Uganda na msumbiji.
 
Mozambique haikujiunga kwa sababu OIC ilikuwa na mazuri yoyote bali ilifanya hivyo kipindi Afrika Kusini ikiwa chini ya makaburu na wakati huo kulikuwa na kikundi cha kibaguzi cha Kiyahudi hapo SA amabacho kilikuwa kinaunga mkono wahasi wa Mozambique. Kwa hasira na kama kusema adui yako mpe kero kwa kujiunga na adui yake basi Mozambique ikajiunga na OIC. Uganda nao ni hivyo hivyo walijiunga kipindi inatawaliwa na Idd Amin. Hakukuwa na muafaka wa kitaifa kwa kufanya hivyo but sort of bulldozing. Naiweka record sawa.

Lakini hii haituzuii Watanzania kujadili umuhimu wa kujiunga na OIC kama organisation. Kinacholeta shaka ni kuwa wanaoipigia OIC chapuo ni Waislamu. Kama UMOJA huu una faida kwa watu wa dini zote kwanini sehemu moja ya Watanzania ndio imekuwa inasisitiza kujiunga? Kwanini isiwe ni muafaka wa Watanzania wote? Kama ni misaada kwa Waislamu basi wao na vyama vyao wajiunge kuliko nchi

Kama unachoongea ni kweli. Kwanini nchi hizo hazijitoi kama madhila yaliyowapelekea kujiunga yamekwisha.

Lakin vile vile Tz mumefanya lini Muafaka wa kitaifa wa kujiunga/kutojiunga na OIC?

 
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini

Baada ya kufikiri jinsi ya kupata maendeleo ya kufanya kazi unafikiri jinsi ya kupata dezo. Sasa Kama wana huduma na wanajua sisi ni maskini kwa nini wasilete hiyo misaada bila ya sisi kajiunga na OIC??? Mbona Samalia ni mwanachama na wameshindwa kumsaidia mwanachama mwenzao ???
 
Mbona kichwa cha habari hakiendani na content? Maelezo yanaonyesha uzuri wa oic lakini ww kwa chuki zako umeamua kupotosha

ujanja wenu wa 'ngamia' ulikwisha shtukiwa na wakristo. eti nipe hifadhi ya kichwa tu......akipewa hifadhi kisha anaingia mwili mzima. na kw vile 'kibanda' ni kidogo, farasi anampiga teke binadamu aliyemkaribisha kibandani. wakristo hawako tayari kukubali hoja zenu kwa vile ni mbinu tu ya kutaka kuisilimisha nchi hii. HAIWEZEKANI. NO OIC, NO KADHI COURT. endeleeni tu na kusoma madrasa, yanawatosha.
 
Mtu anaeshindwa kujadili na kupambanua mambo basi huwa mtumwa ...naona wengi wamePANIC humu....
nafikiri ni jambo jema kama swala la OIC likawa la waislam kama malengo halisi ya OIC yanavyojieleza!...hilo sio swala la kujadiri eti nchi ijiunge kwani tanzania nchi ya kiislam?...haijalishi OIC ina malengo mazuri ama mabaya lakini tayari ni jumuia ya kiislam kwa jinsi hiyo inaifanya kuwa taasisi yenye malengo na waislam!basi ni busara jumuiya za kiislam zikajiunga kimpango wake....
 
Miongoni mwa nchi zenye mlengo mkali wa kutofungamana na upande wowote ni INDIA,Lakini INDIA ni mwanachama wa OIC!Kuhusu siasa za mashariki ya kati RUSSIA na Thailand wanamsimamo gani? mbona wao ni member wa OIC? Sasa sijui nikueleweje ndugu yangu?
Hebu njoo na hoja nyingine nikujibu!

Russia imejiunga lini? Na sisi tunajiunga simply RUSSIA, CHINA, UGANDA nk zimejiunga. What should convince us to join si nchi nyingine bali ni kuangalia our culture as Tanzanians na sio kufanya as bendera fata upepo and at the end of the day when our social fabric is broken we end regretting. Misaada tumepata mingi kama nchi mbona hatusogei? Mimi naona wabanwe OIC ili waruhusu kikundi kama kikundi ndio kijiunge na wala sio nchi. Kwanini nchi na kama ni nchi mbona kuna Azimio la kuifuta Israel. Sasa haki za binadamu zilindwe za webgine lakini Waisrael sio. Haki gani hiyo? This is contraversial na yawezekana mleta mada ndio maana amekipa kichwa mbwamwitu ndani ya ngozi ya kondoo
 
ujanja wenu wa 'ngamia' ulikwisha shtukiwa na wakristo. eti nipe hifadhi ya kichwa tu......akipewa hifadhi kisha anaingia mwili mzima. na kw vile 'kibanda' ni kidogo, farasi anampiga teke binadamu aliyemkaribisha kibandani. wakristo hawako tayari kukubali hoja zenu kwa vile ni mbinu tu ya kutaka kuisilimisha nchi hii. HAIWEZEKANI. NO OIC, NO KADHI COURT. endeleeni tu na kusoma madrasa, yanawatosha.
B
Benard Membe ni waziri wa mambo ya nje na ni mkatoliki safii alisema bungeni kua hili swala halina shida na yeye ndio mwenye mamlaka ya kushughulikia mambo hayo lakini alizuka waziri mwingine huko dar es salaam anaitwa kadinali pengo akamwita akamwambia kaa kimya una pepo waziri akarudi bungeni akafunga hoja OIC kipindi baba wa taifa yoko hai ilitaka kujenga chuo kikuu hapa Tanzania lakini bwana mkubwa akakataa IDD AMIN Mungu amuweke mahala pema akakubali kile chuo kujengwa Uganda na ndio maana bwana mkubwa alipigana nae kwa chuki zake mpaka akamuweka Museveni pale lakini Uganda mpaka leo wanakula matunda ya OIC
 
Kuhusu uanzishwaji wako kuwa Morocco na kuuendeleza uislamu ni kweli, lakini umepindisha mambo mengi aidha kwa bahati mbaya au kwa lengo unalolijua wewe, miongoni mwa wanachama wa OIC ni Russia yenye observer status na USA taifa hili unajua ni swahiba mkuu wa Israel, hivyo malengo kuwa Israel inapaswa kufutwa kwenye uso wa dunia hayajawahi kujadiliwa na OIC bali ni maneno aliyotamka Rais Ahmanejad wa Iran, na OIC iljadili na kupitisha sheria dhidi ya ugaidi, na hivi karibuni walijadili ili kuiondoa Syria kama mwanachama kutokana na machafuko yanayoendelea, cha msingi tusiwe wavivu katika usomaji google ipo wazi so itumike.
 
Mimi siamin hiyo oic ikiingia tutabaki salama sisi kama watanzania..je ile issue ya akia ponda nn kingetokea kama wangekuwepo na maazimio yao hapo..kama dini zinatusababisha tugombane/tuuwane.tupa kule tanzania isonge mbele
 
Hiyo jumiya ni ya nchi za Kiislam. Tanzania haina dini hivyo wasituletee takataka zao. Tuna uhuru wa kuabudu hatuhitaji vurugu zaidi ya hizi ambazo tumeziona hadi sasa.

Hao wanaoililia wahamie Pakistan, Iran, Iraq, na kwingineko wakafurahie matunda ya jumuiya kama hizo. IOC haikubaliki Tanzania kwa namna yeyote ile wala haitakaa iwe sehemu ya nchi hii!
 
ujanja wenu wa 'ngamia' ulikwisha shtukiwa na wakristo. eti nipe hifadhi ya kichwa tu......akipewa hifadhi kisha anaingia mwili mzima. na kw vile 'kibanda' ni kidogo, farasi anampiga teke binadamu aliyemkaribisha kibandani. wakristo hawako tayari kukubali hoja zenu kwa vile ni mbinu tu ya kutaka kuisilimisha nchi hii. HAIWEZEKANI. NO OIC, NO KADHI COURT. endeleeni tu na kusoma madrasa, yanawatosha.

Kabisa mkuu,hatutaki boko haram hapa
 
vatican ni nchi wewe kama ilivyo KENYA , SOMALIA hiyo Oic yenyewe imeshindwa kusaidia Somalia yenye muslim 100%.Ndio hapa Tz mlivyo na njaa kali.

iliazwishwa kwa madhumuni gani?
Je tanzania ina balozi wake Vatican?
Ameteuliwa na rais au kanisa?
Tunapata manufaa gani kwa ubalozi wetu uliopo vatican?
 
Back
Top Bottom