Ogopa ma senior bachelor

Kwa jinsi ulivyoonyeshwa kuguswa na suala langu la kutokuoa....sikudhani kama ungenikatalia ombi langu.....
Ukute hutaki kuoa kwakuwa ulishajijua huwezi kuniridhisha kwanini niishi na majanga wakati mie mgegedo ndio kila kitu? Acha nitakuja tu kukutembelea nursing Home, ohh ooppss ulisema huendi huko basi ukishazeeka kabisa nitakulea.
 
Ndg yangu hizo nyimbo zote za hao watu ulizotaja ni za mahaba...unajiliwazaje ....na huna mpanngo wa kuoa.. je una demu km huna m sure hizo nyimbo zikipigwa utakua una..... mwenyewe..unless we ni wale wakutumia huyu mara yule husettle nammoja just for pleasure
raha ya nyimbo hizo uwe na bby pembeni au hata akiwa mbali unakua upo nae kimawazo
 
mpaka nakutamani isee
 
 

Mh
Heri mie sikugraduate niilishia hiyo rankb2
 
Hahahahahahaha . Ila ukioa 18-23 utalia wengi huwa usichana unawasumbua bora 25>
Hata 25-28yrs sio mbaya kuwa mke.
Ila 30-35yrs hapa anafaa kwa matumizi ya binadamu ila sio kuolewa.
 

Kumbe mimi ni Bachelor General
 
Kwa ufupi ni wabinafsi ndio maana hawataki kuoa...
Ukivunja glass au kikombe utatolewa mimacho...

Labda wale ambao wanaishi na ndugu...
Lakini ukute mtu ana pesa na kila kitu afu anaishi mwenyewe kama mchawi..ni mchoyo bhaas...
Hata wachawi wanakuwaga wawili wawili.
Cc 😡jichawi
 
Lakini hata wewe Sky umepitia visanga teh teh, sio yule ulomzidi 12yrs?
Teh teh teh..

Hivi hii rank tukiileta kwa wadada, dadaangu huyu anakuwa na title gani? I do remember the story..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…