Ofisi za TLS zazingirwa na Polisi kuzuia mkutano wa CHADEMA

Ofisi za TLS zazingirwa na Polisi kuzuia mkutano wa CHADEMA

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
313
Reaction score
2,649
Chadema walikuwa wameomba ukumbi pale kufanya mkutano wa kuwakumbuka mashujaa yote.

Eneo lote limezingirwa na ‘Mapolisi’

===
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X wameandika kuwa;

"Jeshi la Polisi limezingira ofisi za @TanganyikaLaw na kufunga barabara zote za kuelekea katika ofisi hiyo na kuzuia watu kufika eneo hilo, ambapo tulikusudia kuadhimisha #ChademaMashujaaDay kuwakumbuka wahanga wa kupigania haki na demokrasia nchini."

1757233590250.png

1757233613948.png

1757233642314.png
 
CHADEMA wanapenda sana kiki,walifungiwa na wanajua ila wameamua kukusanyika kwani wanajua wataongelewa na kupata kiki.
UPUMBAVU
 
Back
Top Bottom