Wapuuzi hawana Coordination, maombi yanawachanganya, hawajui kama Mahakama tayari Kwa kutumia Majaji Uchwara walishatoa majibu
Sema Tanzania,Uganda,Burundi,Rwanda na DRC nchi za wapumbavu.Jamani eeh, kwani ninyi mlitaka msajiri afanyaje? Unapata wapi ujasiri wa kukuengua Mh. Rais? Wewe unayepinga jaribu kuvaa viatu vya msajiri. Haya mambo yanawezekana huko kwingine ila sio kwa Africa. Demokrasia sio tunda la wa-Africa, sisi tuna namna yetu ya kiutawala huko kwingine tupo kwa ajiri ya kupata misaada tu.
Wkt yeye kajificha kiasi kivuli chake kinafanya mapigo ya moyo yapandePolepole amesema wote watawajibiswa! Nyahoza utawajibishwa, kuna wakati utafika!
SIDHANI KAMA ONE HAS TO BE A DEAD HERO TO ACHIEVE LIBERATION!Wkt yeye kajificha kiasi kivuli chake kinafanya mapigo ya moyo yapande
Ukombozi gani unaogopa kulala kolokoloni !!!
uku ww unaota kuwa wenzako watawekwa kolokoloni Watanzania wengi wapo kolokoloni
na maisha yanaenda anaogopa nini.
Amini nawaambia hakuna mtawala aliyeondoka madarakani bila kumwaga damu