Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Hii kali!! Mkuu vijana wote wa lika la Mh.JK waliokuwa wanamaliza FORM SIX walikuwa wanapashwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria kwa muda wa miezi sita kabla hawaja jiunga na Vyuo Vikuu nk - kwa hiyo mambo ya ukruta na kupiga fang fang lillikuwa jambo la kawaida kabisa. Mkuu naona uamini kwamba mwalimu wa siasa anaweza kupanda cheo mpaka kufikia ngazi za juu, nashanga sana kwa nini unauliza swali hilo, je una uelewa gani kuhusu mfumo wa kijeshi? Hivi unafikili jeshini hakuna Mainjinia(Electrical, Mechanical, Electronics, Communication, Civil, Computer etc) wenye vyeo vya Lt.Kanali, Wadaktari Wenye Vyeo vya Lt.Kanali, (Wanauchumi, Agriculture, Political Commissar)-wenye vyeo vya Lt.Kanali and above. Sasa nakwambia hivi ma ofisa wote hao wanapitia kwenye tanuri la moto kabla hawaja tunikiwa nyota, hakuna cha lele mama kuna wengine upoteza maisha yao wakiwa kwenye mafunzo/mazoezi i.e - nyota hazitolewi kwenye silver plate. Jeshini kuna division of labour kama zilivyo establishment nyingine, siyo kila mwanajeshi yupo kwenye kikosi cha Infantry. Kwa hiyo mkuu uwezi kusema mwalimu wa siasa jeshini (wakati huo) si lolote si chochote, mtu ambaye aelewi vizuri suala la vyeo JESHINI anaweza kusema lolote due to ignorance.jk hana tofauti na halima mdee kijeshi wote ni makuruta wa jkt, hivi inawezekana mwalimu wa katiba ya CCM jeshini akapanda mpka kuwa kanali.