Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,047
- 31,577
Mkuu Nicholas ni kweli kabisa kuna jamaa wakati tunapiga shule chuo mwaka 2002 akanishangaza sana baada ya kuniambia yeye alishiriki vita ya kumwingiza Museveni mwaka 1986 (lazima alikuwa mdogo sana,lazima Museveni alitumia watoto kipindi hicho)Leo yuko Tanzania kila ukipiga story za Rwanda jamaa anamtetea Kagame mpaka utashangaa.Huyu ni raia wa Tanzania mwenye mafunzo ya kijeshi ninavyoelewa mimi mjeshi hapati uraia wa nchi nyingine zaidi ya ile aliyozaliwa na kuitimikia kijeshi.TISS wanashughulika na CDM,Mwanahalisi,Dr Ulimboka hawajui kuna kitisho cha toka nje na ndani ya mipaka yetu.
Wakati tunapigana vita na Idd Amini Tanzania ilikuwa na umoja leo hatuna umoja,udini umetugawanya,ukanda umetugawanya,ufisadi umetugawanya vyama vimetugawanya.Umoja umetoweka !!!!!.Ukiwaamba leo hii wananchi wa kawaida tukapigane vita nchi yetu imevamiwa wengine watauliza kwanza waliochota fedha za meremeta watakuwa mstari wa mbele,waliochota fedha za EPA watatangulizwa msatari wa mbele,waliokula fedha za Radar wana nafasi gani katika kuitetea nchi ?.wanaovuruga amani huku wameshika vitabu vya dini wana nafasi gani katika kuitetea Tanzania.
Ukweli ni kwamba Kikwete na serekali yake wamechezea tunu ya taifa kwa muda mrefu sana.Ni wakati muhafaka sasa nchi ikarejesha misingi ya taifa linaloitwa Tanzania.
Wakati tunapigana vita na Idd Amini Tanzania ilikuwa na umoja leo hatuna umoja,udini umetugawanya,ukanda umetugawanya,ufisadi umetugawanya vyama vimetugawanya.Umoja umetoweka !!!!!.Ukiwaamba leo hii wananchi wa kawaida tukapigane vita nchi yetu imevamiwa wengine watauliza kwanza waliochota fedha za meremeta watakuwa mstari wa mbele,waliochota fedha za EPA watatangulizwa msatari wa mbele,waliokula fedha za Radar wana nafasi gani katika kuitetea nchi ?.wanaovuruga amani huku wameshika vitabu vya dini wana nafasi gani katika kuitetea Tanzania.
Ukweli ni kwamba Kikwete na serekali yake wamechezea tunu ya taifa kwa muda mrefu sana.Ni wakati muhafaka sasa nchi ikarejesha misingi ya taifa linaloitwa Tanzania.
Kama siku moja niliwahi waambia watu kuwa kipindi ch avita rwanda.. wapo wanafunzi wa secondary na vyuo walirudi kwako kupigana vita na baadaye kurudi kuendelea na shule...ni wazi vijana hao wengi walifikia ktk mafunzo mazuri ya kijeshi.Wakipewa mbinu na waliporudi kusoma walikuja na mikakati mingi tusiyoijua.
Vichwa vya lumumba km akina Ritz, hammy, na wengine wanajita wazalendo number moja, sijui nini na nini ,wameishia kutoa matusi mengiii..na kujigamba na jeshi ambalo lipo very porous...wanapiga raia tuu kujipima.Sijui km kupiga raia kunasaidia sana jeshi ambali linahitaji sana inteligentia ya raia.
Last edited by a moderator: