pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,091
unafiki shingapi kwani apo kila mtu anatafuta mashabiki na kufufuka kujulikana mjini akili kiki na kugawana mashabiki mchezo
Diamond ni mpenda taarabTatizo Zilipendwa umekaa kimajungu hata Club hauchezeki
Upo na demu ni Ku - seduce kwa kwenda mbele
Majungu ya Zilipendwa club ya nini [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Unaumwa ww s bure hakuna beat tamuuu kama hiyoAliemtengenezea beat ya huo wimbo ndio kaharibu, moja ya beat mbaya kabisa kuwahi kutokea
Utakuwa mtumwa wa flavor, mbovu ni mbovu tuyaani hii ngoma hata kama huipendi utaipenda kila mahali looh ila sihami WCB