Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Embu mashabiki wa kiba tutengenezeni uzi wetu wa timu kiba, tujue tunamsaidiaje kiukweli anatutia aibu sana mtaani, yani anatuangusha vilivyo. Tunajtahidi kumpa sapot lakni wapi. Embu tonane tujue anakosea wapi.

Uso wangu sijui hata niuweke wapi aibu hii.
 
Nyimbo ya kisouth America..bomba balaa
Nashkuru kwa kunisaidia mkuu! Maana hiyo nyimbo nilikuwa sielewi,bongoflava sio bongoflava,nikawa najiuliza asili yake wapi? Yawezekana jamaa ametoa kwa ajili ya mashabiki wa nje,kama anavyofanya diamond.maana kuna nyimbo nyengine diamond anatoa ndani ya nchi hazieleweki lkn nje ya nchi zinapata airtime ya kutosha na kupendwa
 
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu

1.Video mbovu

2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo

3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu

4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi

Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?



Sent using Jamii Forums mobile app

Acha roho mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu mashabiki wa kiba tutengenezeni uzi wetu wa timu kiba, tujue tunamsaidiaje kiukweli anatutia aibu sana mtaani, yani anatuangusha vilivyo. Tunajtahidi kumpa sapot lakni wapi. Embu tonane tujue anakosea wapi.

Uso wangu sijui hata niuweke wapi aibu hii.
Mbona upo huo
 
kimya chote anatoa wimbo Mbaaayaaaaa.. washabiki wake wamwambie ukweli kusifia upuuzi ni upuuzi pia
 
Back
Top Bottom