Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,820
- 4,264
Akiachia ile amemshirikisha mwanamama kutoka kwa madiba wisibi patanuka mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mimi sinaga u-team ila hii nyimbo ya alikiba seduce me itafika mbali sanaNilichokitambuwa kwenye huu uzi watu wengi waliouchangia ni wale wa upande ule wa Wcboooo sijajuwa ni chuki au ni nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nadhani ukiindoa u team mziki wote ni mzuri tu inategemeana namsikilizaji anapenda kuskiliza nn..,..ukisema eti beat za niger zimepitwa nawakati utakua muongo maaan mpaka this time nigeria ndio wanaoongoza barani Africa na ndio wanaoiwakilisha Africa vzur international kwa sasa...KUHUSU "SEDUCE ME"
☆ Wimbo umetulia,unakupa mood ya kurelax...hakuna makelele na upayukaji wa kinaijeria
☆ Production nzuri hasa eneo la sound mixing
☆ Video nzuri, simpicity, originality, colour toning....clear resolution....less boobs, nudity, marangi rangi na ming'aoming'ao isiyo ya lazima
☆ Wimbo una mada inayoeleweka.
☆ Probable critisism kwa wimbo huu ni kwenda tofauti na upepo uvumao kwa sasa...uandishi wa kinaija..beat ya kinaija...na slow tempo...watu sasa wanapenda nyimbo zenye kasi ya singeli or something close enough to that...ndiyo maana wengi wanawaza itakua vipi Kiba akifanya show CCM Kirumba ataamsha mashabiki na wimbo huu? Mziki ni vibes tu ndiyo maana haishangazi kuona R. Kelly anaamsha mashabiki kwa kwaya yake ya "Storm Is Over" au The Passengers na "Let It Go".
☆ Athari za team zinafanya kusiwepo na uhalisia wa judgement za kazi za sanaa hasa kwa Daimond na Ali Kiba, kwenye uwepo wa team basi hutokea kitu kinaitwa ligi...na lengo la ligi ni team flani kua mshindi..sasa nani awe looser? Hapo ndipo kazi ilipo
international ipi hao wa-nigeria wanafanya vizuri? kila siku diamond ana wabuluza kwenye tuzo au mimi sijakuelewaMi nadhani ukiindoa u team mziki wote ni mzuri tu inategemeana namsikilizaji anapenda kuskiliza nn..,..ukisema eti beat za niger zimepitwa nawakati utakua muongo maaan mpaka this time nigeria ndio wanaoongoza barani Africa na ndio wanaoiwakilisha Africa vzur international kwa sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
My Take:
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Hii inaenda kuvunja rekodi....kote kaweza kuanzia jina la wimbo, mashairi, melody mpaka video.. hii itaangaliwa duniani koteBaba sasa hivi ni zinasoma 500,000 na kuendelea
Mpaka siku ya leo iishe itakuwa imesoma milioni 1 na kuendelea
HahahahUnaweka kukisoma ulichokiandika?
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu
1.Video mbovu
2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo
3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu
4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi
Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usifuate comments angalia moyo wako unasemaje,hicho kichwa hujapewa ufugie nywele tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu
1.Video mbovu
2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo
3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu
4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi
Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani katolea povu huyo! Sijui kama kula amekula.. HahaaaaahUtakuwa dada ake diamond...si kwa kuchefukwa huku kama vile ulimtuma/kumpa hela ya video!
brain is the beautiful part of the body.