Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

yani huuu wimbo hata hauwezi kutumika kutangazia tangazo la mbolea ya samadi!
PSYUUUUUU!
majigambo mengiiiiii!
MI KING MI KING!
sasa sijui KINGorowira?
Ruttashobolwa niulizie pls!
NN HIKI?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] we mtu bana

Salamu zimfikie mwanao
 
Kajitaidi kiasi chake japo kwa ukimya wa mda mrefu alitakiwa kutoa ngoma kali itakayotetemesha anga zotee....nice song ila ni ya kawaida sanaa nlitegemea kikubwa zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] we mtu bana

Salamu zimfikie mwanao
Anakera sana huyu mbwiga!
ANA KIPAJI KIZURI ANA SAUTI NZURI ANACHEZA VIZUR ANAPENDWA KAMA ARSENAL
ANASHINDWA NINI KUMSUMBUA NASEEB?

yani anakaa tu huko Tabata akiitwa itwa Kiba Kiiiba!
akapinda pinda midomo kama anjifu!
anaona kafiiiiiiika!
YANI ANAKERAAAAA!
 
d208116d850726ab2e0309a1e56c1958.jpg
Had MTV wanajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu classic nyoosha maneno wimbo huu ni wa hovyo kabisa ...hivi unafikiri watu hatuna nyimbo za Alikiba tunazo zipenda?
Boss sijakukatalia maana kila mtu ana muono wake wa kupokea jambo au kitu, binafsi napenda good music bila kujali kaimba nani as long as ina touch my mind, body and soul.
So 4 me this is good music

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani huuu wimbo hata hauwezi kutumika kutangazia tangazo la mbolea ya samadi!
PSYUUUUUU!
majigambo mengiiiiii!
MI KING MI KING!
sasa sijui KINGorowira?
Ruttashobolwa niulizie pls!
NN HIKI?
hahahaha Mwl unajua hapo kwenye tangazo la Mbolea ya samadi umenipasua mbavu...
hahahaha King kipusa bhana hata sijui huu ni wimbo au ni demo hahaha
 
Anakera sana huyu mbwiga!
ANA KIPAJI KIZURI ANA SAUTI NZURI ANACHEZA VIZUR ANAPENDWA KAMA ARSENAL
ANASHINDWA NINI KUMSUMBUA NASEEB?

yani anakaa tu huko Tabata akiitwa itwa Kiba Kiiiba!
akapinda pinda midomo kama anjifu!
anaona kafiiiiiiika!
YANI ANAKERAAAAA!
Yani ukisikiliza wimbo wa PAPA wa Gigy utagundua Alikiba anapaswa kwenda kuomba ushauri kwa ex wake Gigy
 
Wadau kwa ngoma alotoa alikiba means ameandika mwaka mzima masikini... Lakin imekuja kutoka daaah hakianani.. Kumfananisha Diamond na kiba ni kosa kubwa mnooo alikiba afananishwe na Aslay tu no way out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom