Dah hii kali! Acha ushabiki wa kijinga usikosee heshima watu wazima, Itakusaidia sana kwenye maisha hasa wasiokukosea chochote! Kuna kitu kinaitwa Karma kiogope sana. Don't say I didn't warn you
Hahaha! Hawa mtv wanatafuta matusi sasa
Kw hiyo kwenye hiyo video gari hujaiona na mahela ya bandia hujayaonNapenda video za namna hii hakuna mabwawa ya kuogelea wala magar gar ya kipuuz, sijui garden cjui nn nshachoka bora hata hizi kwangu ni mukideeee
Sent using Jamii Forums mobile app
We unafikiri hii ni eneka
Soma vizur,, hatujazoea mavideo ya kukaa mbele ya magar sisiKw hiyo kwenye hiyo video gari hujaiona na mahela ya bandia hujayaon
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa wale wanaowakanya kina Kiba waki back up waanze kumkanya huyu dogo.baadae asije kulia liaAnaanzishaga uchokoz alaf baadae anasema watu wanataka kiki kwake Mara wanasafria nyota yake na huku ni yy ndo analiazisha
Sent using Jamii Forums mobile app
PumbaaaHuyu Domo kwa Kiba aendelee kusubiri sanaaa maana Kiba leo kadhihirisha yuko level za kimataifa.
Wapenda singeli hawawezi muelewa King.
Narudia ni kali.
Eneka inakimbiza kinoma kwenye ma top ten. Aje ilikuja na kiki za sony ndo maana ilibmba nakupa week tu ngoma chali mtaikataa tena si ndo zen maana kajiandae na aje remix mshazikataa siyo zenuWe unafikiri hii ni eneka
Mpaka mwaka uishe tena kama AJE
Mlivyoiponda wakati inatoka
Omooo kwenye ubora wako.
BokoOmooo kwenye ubora wako.
Hii siyo singeli[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mwambie boss wako aendelee kucopy ladha za wanigeria.