Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Kitu kimoja nilichogundua kuhusu mziki wa bongo hususani kwa mashabiki wa diamond na ally kiba ni kutegema anachofanya huyu na mwingine afanye hivyo hivyo.
Wengi nadhani walitarajia mbwembwe nyingi na nyimbo yenye tempo kubwa kwenye nyimbo hii mpya ya alikiba
This is good music simply bcoz unachezeka na hauna zile mbwembwe zetu za kusifia mwanamke.
Sio lazima wote tusifie mwanamke
Usiwekee mategemeo kwa kitu ambacho sio cha kwako

By
Classic


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha mbwembwe wala nn wimbo mbovu full stop sababu zingne hazitaubadirisha wimbo kuwa mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
c3143dcb6eabb6e4648e976efeedf6e2.jpg
je ana maana gani dondosha comment yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi

Leo Ali kiba kaachia seduce me sijaielewa ngoma ....
Ngoma ni kawaida sana. Najiuliza kiba kwa katuona sisi watu wa kutuchezea masharubu ........


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi mnasifia hii nyimbo kwa sababu ya utimu wenu, kiuhalisia nyimbo mbaya, video mbovu, hamna kitu hapa

Siasa basi
Haina tofauti na ile ya ENEKA,FIRE na I MISS YOU ijapokuwa kwenye I MISS YOU wale madensa wameua,ukiona naangalia ile video ya I miss you,jua nasubiria kile kipande wanachodansi
 
Alikiba anabebwa na kiki, utimu muziki hajui kabisaaa

Siasa basi
 
Watu wanafiki sana wanachangia... Ki team team ndiyo maana mziki wa bongo unazidi kufa....
nani kasema mziki wa Bongo unakufa ,unataka kusema mziki wa miaka kumi iliyo pita na sasa kuna negativity yoyote

acha uongo team K
 
Back
Top Bottom