Mkuu hujaiskliza vizuri nini ..Si wanasemaga huyu ni mkali wa mashairi hayo mashairi yenyew yako wapi kwenye huo wimbo


nyimbo ni mbayaaaa acha niendelee kusikiliza Eneka mieee!!Sasa ndani master zaidi take acheni chukiJamaa mchokozi sana anajikuta kama yeye ndo master wa hizi vitu
nimevumilia kusikiliza kwa dakika moja nkaona kelele. huwezi linganisha kwa mara ya kwanza nasikiliza ngoma ya Diamond ya eneka. kiba ajipangeTatizo ni tafsiri za watu, mnajiumiza sana kuunganisha dots zisizo na logic, hata angepost yuko toilet mngetafsiri kivyenu!
Mwisho wa siku songi la Kiba ni baya, namshauri atoe remix yake na aipake rangi angalau.