Ofa ya pasaka kwa wateja wa airtel

Ofa ya pasaka kwa wateja wa airtel

ccr airtel

Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
96
Reaction score
14
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL
 
Mimi mkuu airtel naipenda. sana ila naichukia naninataka KUHAMA,kwa kuwa zawadi yangu ya reward programu haija nipatia.inawezekana wakati inakabidhiwa mikoba na ZAIN nami ka zawadi kangu alipewa ila huyooooo.akachikichia nako.eti sasa hivi wanajikosha au wanajitengeneza mazingira mazuri ya ki sheria ili kama atatokea mtu kulalamika basi wawe wanacha kusema.HIVI SASA WANATUMA MSG KUWATAARIFU WATEJA WALIYO WAHI KUSHINDA REWADI KUWA.eti komboa zawadi yako kabla ya tarehe 14 kwa kutuma msg 100sms kwenda 15033.kwanza hiyo kauri ya KOMBOA?! Imenikatisha tamaa.sasa ndo hiyoo zawadi unayo isema wewe hapo kwangu mimi kama haina maana. 1 huwa nalala mapema kabla ya huo muda. 2.maka hivi sasa nina 4000 ambazo nazo zitafia huko huko. Ila ubarikiwe mkuu kwa post,
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL

Kawambie wakubwa wako kwamba ofa kama hizo hazina maana. Nani atakaa macho usiku kucha kutumia huo muda? It doesn't make any sense kumpa mtu ofa na kumwambie aitumie wakati wa kupumzika.

Kwa upande wangu ni bora hizo ofa msingezitoa!
 
Siku nyingine makampuni ya simu yatambue kuwa si wateja wao wote ni watoto.

Matangazo yao mengi ni ya kitoto toto.

Mpango wa rewards points nao ulionesha mambo ya kitoto. Lo! Bila kujali mteja and rewards points ngapi, wote tulisukumiziwa toys. Mimi niliporudi home nayo, mtoto akalilia akijua ndiye mwenye right ya kuchezea toy na si mzazi. Ikabidi nimpe.
 
Mitandao ya simu hamna aibu kama mfugaji wenu CCM. Ndo nini kutufanya watumiaji wa simu kama watoto wadogo au mataahira? Ofa zenu za usiku wa manane zinadhihirisha unafiki wenu na kiasi mlichofikia ktk kutufanya kama machizi. Faida mnapata na bado mnataka damu zetu nadhani. Mmezidi danganya toto wote nyie, si airtel, tigo, zantel wala voda wote wanyonyaji mliopewa uhuru na sheria mbovu za nchi hii ambazo bwana wenu CCM hawezi kusimamia mabadiliko ya sheria hizo kamwe. Endeleeni kutunyonya hatuna mjomba wa kututetea.
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL
Tangazo hili inafaa mulipeleke kwenye shule za secondary na primary. Kweli AIRTEL mumechoka
 
acheni wizi nyie watu,mie jana nimeweka 5000 na nikapata msg kuwa nimepewa sijui msg na muda wa maongezi na data bure.ila kila nikicheki naambiwa una msg 0,mb 0 na msg 0.
maana yake nn?
na huo muda c wa kulala?
bora msingeweka kabisa
 
Assuming kuwa (hasubuhi = asubuhi) then hii offer ni kwa ajili ya:
- Wauguzi na Madaktari ON-CALL
- Walinzi (Security Guards)
- Dada poa & Kaka poa
- Broken Heart(ed)
- Wagonjwa waliolazwa mahosipitalini
- e.t.c

Of course.
Kwa mtu kama mimi siwezi kuanza kumpigia simu mwenzangu saa 6 usiku ilhali huo ni muda wa kupumzika baada ya kujenga taifa mchana kutwa. Promosheni za namna hiyo mie naona ni ridiculous kabisa wala hazifai kupigiwa chapuo.
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL

Ofa ya meseji eti kutuma usiku kuanzia saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi huu uhuni.
 
Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

Mnataka kuachanisha ndoa za watu jamani.
Huu mda ni wa kulala na kiburudisho chako.
Kwa nini wasiweke kuanzia asubuhi mpaka usiku?
Hivi vioffa vya kihuni tu
 
Hao hawajatoa offer wanazuga tu kwenye vyombo vya habari ili wasikike kuwa wapo.Sera yao kubwa ni hamia huku. Wana kazi kwa matangazo ya offer hizo siami n'go!
 
Ikija kampuni itakayotoa ofa kama hizi mchana nyie makampuni wezi mtajibeba. Nitahamia bila kuuliza mara mbili na hakika mtanisahau
 
dah kweli wananchi mna hasira...afu binadamu wa humu ndani kwann mmekaa kishari shari sana,kuna wengine hapa ingekua face to face ningeshakula makofi tena mengi tu...Hayo ni mawazo yenu ndugu wateja afadhali nyie mnaosema kuliko wanaohama kimya kimya...Mnasema kwa sababu mnaipenda Airtel...ofa nyingi zaid zinakuja mtachoka nyie tu!,Justwait the time is coming
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL


mkuu, inabidi urudi kwa waliokutuma kwamba watumiaji hawajaipenda hiyo offer..watu sio mabundi au popo wa kukesha usiku mzima..
mjifunza sasa na hizi offer zenu..ni wakati wa kutarget prime time
 
dah kweli wananchi mna hasira...afu binadamu wa humu ndani kwann mmekaa kishari shari sana,kuna wengine hapa ingekua face to face ningeshakula makofi tena mengi tu...Hayo ni mawazo yenu ndugu wateja afadhali nyie mnaosema kuliko wanaohama kimya kimya...Mnasema kwa sababu mnaipenda Airtel...ofa nyingi zaid zinakuja mtachoka nyie tu!,Justwait the time is coming

kwanini msilete mambo ya maana kwanza badala ya huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom