Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Huyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro.
Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima