Ocean Road kuitwa Barack Obama road

Ocean Road kuitwa Barack Obama road

huu upuuz wa kubadil kila jina la barabara na kuzipa majina ya watu sijui utaisha lini

mkuu ni kutokujiamini,kujipendekeza na kulazimisha kumtukuza mtu! Kwanhni wasitengeneze barabara mpya ambazo hazina majina then wazibatize majina mapya e.g ridhiwan road,miraji road,fastjet road?
 
Sisi hata jalala linaloitwa kkwete hamna ulaya sijui tutafika?!
Ni kweli kabisa, Kikwete, au kiongozi wa Afrika kwa ujumla hawezi kupewa hata jina la eneo la jalala Marekani.

Kwa wenzetu mliopata kutembelea huko Marekani, ni wapi Marekani uliwahi kuona Mandela Road? Acha huyu Kikwete huyu ambae hata Obama mwenyewe alikuwa hajawahi kumsikia kabla hajajipeleka Whitehouse, Mandela wanaejifanya kumuimba kila siku ana mtaa Marekani? Sembuse Kikwete? Sasa kwa nini ujipendekeze kumfanyia mtu kitu ambacho yeye hawezi hata kufikiria kukufanyia? Hatujipendi. Hatuna pride na vitu vyetu na identity yetu, ndio maana Rais wetu omba omba, anagawa mitaa, anagawa vitalu, anagawa twiga, anagawa mashamba and God knows what else anagawa!
 
mkuu ni kutokujiamini,kujipendekeza na kulazimisha kumtukuza mtu! Kwanhni wasitengeneze barabara mpya ambazo hazina majina then wazibatize majina mapya e.g ridhiwan road,miraji road,fastjet road?
Hiyo nazi hapo juu mbona haikusaidii kabisa??
 
Hivi hatuwezi kuweka vigezo vya kufanya naamuzi kama haya? au inategenea kuwango cha unafiki cha watawala tu.
Nilitegemea mtu km ww uta comment tofauti kidogo na wanywa viroba na form 4 wanaokitumikia chadema mitandaoni kumbe na ww ni wale wale
 
Mitumba anatuletea'?
Kwa hali hiyo uliyo nayo kwenye hiyo avatar bado unachoomba ni mtumba?Miafrika bana!ndivyo tulivyo tu!
avatar34775_3.gif
 
Ocean road hospital ipo Barack Obama road........maajabu.
Basi wabadili jina la hospitali pia.

Watawala walioshindwa kutengeneza historia yao wameamua kufuta historia iliyopo.
 
Kuna mtu mmoja nimetune ITV leo asubuhi anaitwa Richard Kasesela...mnafiki fulan anayehisi anajua kila kitu na watanzania wanaohoji ni washamba au hawajatembea,anajibu kirahisirahisi tu!eti Obama ni Icon ya dunia lazma tumuenzi kwa kumpa Barabara!..Pathetic
 
Mbona Xi Jinping hakushbokewa hivi?
Kwa mtindo huu tusishangae tukiambiwa Tanzania nayo inaitwa Obama Land ili kumuenzi Obama... Sad to say!!
 
Kuna mtu mmoja nimetune ITV leo asubuhi anaitwa Richard Kasesela...mnafiki fulan anayehisi anajua kila kitu na watanzania wanaohoji ni washamba au hawajatembea,anajibu kirahisirahisi tu!eti Obama ni Icon ya dunia lazma tumuenzi kwa kumpa Barabara!..Pathetic

Ndmana bush kapewa kigambon,nae c icon ya dunia
 
Mbona Xi Jinping hakushbokewa hivi?
Kwa mtindo huu tusishangae tukiambiwa Tanzania nayo inaitwa Obama Land ili kumuenzi Obama... Sad to say!!

Ba mwanaisha akili zake zinarud utotoni,anazeeka
 
Hivi haiwezekani tukaendelea kutumia jina la zamani, hata kama wao watabadili?
 
Huo ni kukosa uzalendo na kutaka kuiua historia ya nchi. Majina ya barabara yana historia inayoungana na ile ya nchi. huu mchezo wa kugawa majina kila mara inatokana na uzoefu wa kugawa pia raslimali za nchi kiholela.

Haswa, Dingswayo. Tabia la kukinga bakuli inaandamana na kukosa ukomavu wa kuthamini kilicho chako.
 
Back
Top Bottom