Ocean Road kuitwa Barack Obama road

Ocean Road kuitwa Barack Obama road

Hiyo si tuliambiwa itakuwa dubai ya Tanzania ifikapo 2015 au kabla?
Usiwe na shaka, Serikali yako ni sikivu kwa kasi zaidi, ari zaidi na nguvu zaidi.


Yangu macho ngoja aje na aondoke, shida za waTz nadhani zitapungua kwa kiasi kikubwa kama sio kuisha! Waafrika, hivi Obama akienda Sweden and the rest of western europe watadeki barabara!
 
Ili kumuenzi OBAMA wanipe binti yake MALIA nimuoe... manake she is hott
 
At least baba wa taifa aliwapa wanahistoria wenzake wa kiafrika. Lkn mwenzetu huyu hata barabara hana atleast Mr. Ben analo daraja.

NASIKIA ANAJENGA YA KIGOMA, DARAJA LA MTO MALAGARASI, MSATA, TANGA, HOROHORO, SINGIDA TABORA, BARABARA ZA JIJINI DAR...........naona orodha ni ndefu. upo hapo? mnyonge mnyongeni lkn haki yke mpeni. unamtetea mwalimu lkn tambua kwamba wale maswahibu zake walifaidi sana kwetu. sisi hatujapata chochote kwao. unajua kuwa nchi zote za kusini mwa afrika zilipata kianzio hapa kwetu? kwa taarifa yako, mkapa alizindua lile daraja lkn limejengwa na mwinyi. ni kama jk alivyozindua uwanja wa taifa uliyojengwa na mkapa. acha idini! naona ndiyo unakusumbua. uliza dogo uambiwe
 
Hivi kwani lazima iwe Dar ambapo barabara tayari zna majina yake kwanini wasiite hata zile za mikoani?
 
Yangu macho ngoja aje na aondoke, shida za waTz nadhani zitapungua kwa kiasi kikubwa kama sio kuisha! Waafrika, hivi Obama akienda Sweden and the rest of western europe watadeki barabara!

Mbona ulinganifu wako umeanzia juu? Anzia kulinganisha jamii ya Kiswideni au Ulaya na ya Kitanzania kuanzia chini na kwa kila kitu, sio tu kudeki barabara ili utende haki,

Je Familia ya kawaida ya Ulaya watoto wanakatazwa kukalia makochi mpaka wageni waje?
Je Familia ya kawaida ya Ulaya watoto wanakula vizuri siku wageni wakija?
Je Familia ya kawaida ya Ulaya vyombo kama glasi nzuri na sahani zinatumika kwa ajili ya wageni tu?
Kama majibu ya hayo maswali ni NDIYO basi tunaweza kulinganisha hizo Jamii mbili!

 
Ulimbukeni unatusumbua watanzania masikini sisi na hata Mungu alichotupa bure tunakigawa pia bure kwa wanaojiita wawekezaji wezi wezi tuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!
 
Katika kumuenzi rais wa Marekani barabara ya Ocean (Ocean road) itazinduliwa upya na Barack Obama na itaitwa Barack Obama road

alikuja bushi na net ss tuka mpa madini sasa huyu obama kaanza na barabara then gess ya mtwara amakweli ss ni vichwa vya wenda wazimu
 
Safari zote alizofanya jk nje bila shaka amezawadiwa barabara nyingi sana na kama hajazawadiwa ajiulize tatizo ni nini.
 
Sasa na Ile Hospitali itaitwaje?

Hv hawa watu huwa wanafikiria kweli kabla ya kutenda?
 
Another small mind syndrome...what has Obama done to warrant this? what has America done to Tz to warrant this? The poverty of the nation is not only seen in its roads, people, cities, villages, and govt institutions, but also in its common thinking and reasoning...upuuzi mkubwa na umaskini wa akili na fikra toka kwa wapuuzi wengi miongoni mwetu
 
Meck sadick kasema hiyo ni kama zawadi ambayo manispaa ya Ilala imeamua kumpa Rais wa Marekani baraka Obama.
Mimi naona wamekosea kufanya hivyo. wangempa kinyago cha samaki sababu samaki ndo ipo kwenye nembo ya Ilala. mia
hivi umesahau wakati Mzee Mwinyi anastaafu urais alipita nchi nzima kuwaaga na kila mkoa ulimzawadia, mfano Kagera nakumbuka tulimpa mikungu ya ndizi, ng'ombe, shamba nk, hivyo hivyo na miko mingine. Alopokuja Dar nakumbuka mzee Kitwana Kondo wakati huo akiwa meya wakamzawadia gari!!! Ndipo watu wakahoji kama kulikuwa na kiwanda cha magari hapo Mzizima! Tulidhani miaka 20 ilitosha kubadilisha akili na fikra za watu lakini kumbe.....
 
Jana amefika Senegal huyu mpumbavu mwenzenu Obama anaanza kuongelea kuhusu mashoga...Xi Jinping kaja kasign mikataba ya muda mrefu ya kimaendeleo na muda si mrefu tutakua na bandari kubwa East and central Africa pale Mbegani.. wachina wanakuja wanajenga vitu vinaonekana, wamarekani wanaleta wataalamu na washauri briefcase wanachukua $$ zao za misaada wanarudi nazo kwao (kila wakati workshop sijui capacity building, workshop good governance au mradi wa vyandalua badala ya kutafuta vaccine ya malaria yenyewe kwa unafiki wao. Kwneye suala la energy hii symbion inatengeneza Mgwt 200 huu nao utauhita ni uwekezaji madhubuti au upigaji dili tu...haya mambo ya kushangilia watu kwa sababu ya romanticism au symbolism na kusahau reality yamepitwa na wakati..Americans wana maslahi mashariki ya kati, ulaya na far east, huku Africa hawana kitu na should be treated with a deserving contempt.
 
Jana amefika Senegal huyu mpumbavu mwenzenu Obama anaanza kuongelea kuhusu mashoga...Xi Jinping kaja kasign mikataba ya muda mrefu ya kimaendeleo na muda si mrefu tutakua na bandari kubwa East and central Africa pale Mbegani.. wachina wanakuja wanajenga vitu vinaonekana, wamarekani wanaleta wataalamu na washauri briefcase wanachukua $$ zao za misaada wanarudi nazo kwao (kila wakati workshop sijui capacity building, workshop good governance au mradi wa vyandalua badala ya kutafuta vaccine ya malaria yenyewe kwa unafiki wao. Kwneye suala la energy hii symbion inatengeneza Mgwt 200 huu nao utauhita ni uwekezaji madhubuti au upigaji dili tu...haya mambo ya kushangilia watu kwa sababu ya romanticism au symbolism na kusahau reality yamepitwa na wakati..Americans wana maslahi mashariki ya kati, ulaya na far east, huku Africa hawana kitu na should be treated with a deserving contempt.
well said mkuu!umechangia hoja nzuri
 
Unapompa mtu heshima ina maana unakubaliana na fikra zake. Leo Mr Obama amemwambia Rais wa Senegal wafikikirie upya sheria ya ushoga.


Hii kama anataka kuingiza hapa awapelekee WALIBERALI naona watamsupport 100%.
 
Back
Top Bottom