Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,079
Wamekuja wangapi toka USA, kuna mabadiliko gani kiuchumi kwa walio Kigoma, Kagera mipakani etc, etc, etc, etc!
Mkuu usiende mbali sijui huko Kigoma....Njoo hapa hapa DSM ya ujio wa huyu Rais ni full majanga...Watu huko Manzese, Posta mpya hawajui familia zao zitakula nn maana vibanda vyao vyote vimevunjwa...