mpasuajipu99
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 678
- 120
Bora wangeita MWANAMALUNDI ROAD😛ainkiller:
Hivi mashujaa wa kiafrika hawakumbukwi hata kidogo, huyu Mwanamalundi alikuwa mtu maarufu sana katika Historia ya Usukuma. Huyu jamaa angekuwepo hadi leo, angeweza kuwanyooshea kidole mafisadi na wakakauka hapo hapo.
Hivi mashujaa wa kiafrika hawakumbukwi hata kidogo, huyu Mwanamalundi alikuwa mtu maarufu sana katika Historia ya Usukuma. Huyu jamaa angekuwepo hadi leo, angeweza kuwanyooshea kidole mafisadi na wakakauka hapo hapo.